Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Heshima mbele!
Wakuu baada ya matokeo ya kidato cha nne kuna dogo hapa amepata division four ya point 28. Sasa inawezekana kwa alama hizo akaenda chuo cha ualimu? Naomba waliosoma chuo grade A wamsaidie huyu kijana kama alama zake zinamruhusu kupata chuo.
Nawasilisha
Wakuu baada ya matokeo ya kidato cha nne kuna dogo hapa amepata division four ya point 28. Sasa inawezekana kwa alama hizo akaenda chuo cha ualimu? Naomba waliosoma chuo grade A wamsaidie huyu kijana kama alama zake zinamruhusu kupata chuo.
Nawasilisha