Hatujuwani
Member
- Oct 11, 2011
- 51
- 10
Mimi ni around 23-26years old, hivyo basi katika kukuwa kwangu sijawahi kutumia kilevi chochote mpaka sasa, ila katika maisha yangu niliwahi kuwa na ndoto ya kuja kuvitumia hivyo vitu, Sasa naona huu ndo muda wa kuanza kuvitumia, Nafanya hivyo kupunguza msongo wa mawazo niliyonayo kutokana na serikali mbovu iliyoko madarakani ili kusogeza siku.
Hivyo waungwana naomba msaada ni MVINYO/BEER gani nzuri kwa mimi ninaetaka kuingia kwenye chama nianze nayo????? ................msaada please ikiwezekana nianze leo leo.
Hivyo waungwana naomba msaada ni MVINYO/BEER gani nzuri kwa mimi ninaetaka kuingia kwenye chama nianze nayo????? ................msaada please ikiwezekana nianze leo leo.