Wale wataalam wa hesabu hebu nisaidieni namna ya kusolve hii haraka, nimejaribu njia zote nimeshindwa (Log... etc), sasa sijui ni uzee unanisumbua!!
2[SUP]x[/SUP]=4X
The answer is 4, sasa tatizo ni namna ya kuipata hiyo 4.
2^x =4x......log
log2 ^x=log4x.
Xlog2=log(2^2)X.
Xlog2=log(2^2)+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2
X=(X-2)2
X=2X-4
4=2X-X
X=4.
wakuu wote mnaohoji log ilivyopotea nilishasawazisha kwenye post yangu iliyofatia labda ilikuwa ngumu kuiona. fata mtiririko huu ili tuelewane
2[SUP]x[/SUP] =4x..............................................apply log
log2[SUP]x[/SUP]=log4x.
Xlog2=log(2[SUP]2[/SUP])X.
Xlog2=log(2[SUP]2[/SUP])+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2.........................gawanya kwa (x-2)log2both sides
logx =1
(x-2)log2
logx =1.............................................................andika hiyo katika mfumo wa log under base,
log2(x-2)
log [SUB]2(x-2)[/SUB]X=1..................................................................................ibadilishe katika exponential form
2(x-2)[SUP]1[/SUP]=x
2x-4=x
2x-x=4
X=4.
hapa bila kuchora graph au kutumia try and error method hamna jibu.
kaka hiyo sio Hesabu ni HISABATI hesabu kila mtu anaweza zile za kuuzia machungwa ndo hesabu!!!
2^x =4x......log
log2 ^x=log4x.
Xlog2=log(2^2)X.
Xlog2=log(2^2)+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2
X=(X-2)2
X=2X-4
4=2X-X
X=4.
dada angu husninyo , nadhani hapo kwenye red utakuwa umpitiwa , hauwezi kuzi ingiza hizi no (x-2) ndani ya log kienyeji hvyo ,
nakumbuka hii hesabu ilituangaisha sana o-level , mwisho wa siku soln pekee kwa mwanafunzi wa o-level ni kuchora graph tu.
Log ina limitations zake katika kusolve matatizo , na mojawapo ni ili , its unsolvable kwa kutumia log concept ,
ndo maana ukifika a-level unafundishwa other estimation techniques kama newton raphson na nyinginize
Samahani sana dadangu mpendwa. nashukuru sana umenipa mwanga, ni kijana (mtoto) wangu mmoja amenitumia hiyo hesabu na kwamba nikishinndwa nimpe hela (huwa tunashindana). sasa najua kabisa atanibana kwenye maswali kama hayo nikirudi nyumbani. ulivyonitumia hiyo soln ilibidi nichekicheki vitabu hapa lakini havisemi kitu kama hicho.
Kitu ulichosema hapo ninavyojua ni kwamba Log[SUB]10[/SUB]10 ndio moja, sasa kwa case yetu hiyo red 10 haipo, itakuaje moja!!
Hapo mie naona kama niko gengeni nanunua nazi, mwe!
Heshima mkuu. lakini kwenye red hiyo sheria ni ipi hiyo!!. hiyo Log jinsi ilivyopotea hapo!!.
maana nilitegemea iwe:
LogX=(X-2)Log2
X=2[SUP](X-2)[/SUP] then uendelee kutoka hapo.
Hiyo sheria uliyotumia hapo juu, naomba ifafanue zaidi.
Hapo ndo penye utata husninyo!!!
Hizi ngoma nilikuwaga vema sana, tatizo ni hizi shule za kufanyia mitihani huwezi amini ngoma imekataa kabisa shiiit. Alafu leo hii nipo kazini kwasababu nilifanya vizuri katika masomo yangu
Elineema 🙌Nimepitia mabishano na solution zenu pamoja na thread ya huyu jamaa nikiwa na T.O wa advanced mathematics mwaka 2009 ametoka PUGU na kwa sasa yupo UDSm anasoma BCOM finance Tumecheka sana kutokana kuwa hili swali tumeshalifanyia kazi na huyu T.O ELINEEMA MOLA alipata 98% ya Pure math form six.
JIBU LA SWALI KUNA JAMAA MMOJA kapata ameandika comenti kuwa Hufanywa kwa njia ya Inspection yaani makadilio hili swali ni pamoja na lile la 3^x=9x huwa hakuna njia maalumu zaidi ya kupachika number na kuzijaribu kwenye equation.ASANTEN N POLEN KWA KUMALIZA ROUGH KUTAFUTA JIBU. Na pia kama bwana DASA unabisha toa njia niikosoe.