tricecriss
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 225
- 59
Habarini zenu wana JF?
Jamani mimi tatizo langu ni kwamba najiona kama mambo kunako 6*6 yanaanza kunishinda kwa sababu ya uzito na nimekuwa tipwa tipwa sana kiasi cha kupoteza mvuto sasa nilikuwa maomba kama kuna mtu anafahamu gym yoyote iliyomaeneo ya sinza,kijitonyama au maeneo yote yanayonizunguka na gharama zake mimi naishi sinza white inn atakuwa amenisaidia sana,
natanguliza shukran
Jamani mimi tatizo langu ni kwamba najiona kama mambo kunako 6*6 yanaanza kunishinda kwa sababu ya uzito na nimekuwa tipwa tipwa sana kiasi cha kupoteza mvuto sasa nilikuwa maomba kama kuna mtu anafahamu gym yoyote iliyomaeneo ya sinza,kijitonyama au maeneo yote yanayonizunguka na gharama zake mimi naishi sinza white inn atakuwa amenisaidia sana,
natanguliza shukran