Nimekutumia umeona?Ndugu zangu Mimi kijana wenu wa hapa jukwaani. Nina shida ya 10K nakurudishia 20K jioni ya Leo.
Kuna mistake Moja nimefanya nimeibiwa Kila kitu.
Nimeamka na simu tu na bundle.
TIGO 0710782874 (Brown Nyanza)
Natanguliza shukrani.
Umeibiwa vipi?nimeibiwa Kila kitu.
Labda alifanya yale tunayowakataza kila siku humu. Kulala na malaya, asubuh huna kituKuibiwa ni kufanya mistake? Hiyo 10k ya nini?
Angeuliza tumpe mbinuLabda alifanya yale tunayowakataza kila siku humu. Kulala na malaya, asubuh huna kitu
Anataka kubeti ana amini atapiga pesaKama una uwezo wa kupata 20k jioni ya leo kwanini usisubiri hiyo jioni upate pesa yako ya halali kabisa?
HUenda leo kaamka na hamu ya breakfast ya kibabe.. supu ya kuku, chapati 4 maini rosti na maziwa fresh. Mwisho kuna pepsi au maji baridii.Ujana bwana !
Kila siku mbinu tunawapa vijana tu ni wakaidiAngeuliza tumpe mbinu
Na kwenye vikao vyetu wanalalaKila siku mbinu tunawapa vijana tu ni wakaidi
Nitalala kaburini moja kwa moja , mda wa kuwa hai ni mdogo nilale ili iweje?min-me huwa haulali