Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 May 1, 2012 #1 Habari wana ndugu.mimi ninaipenda sana jf ila ninasumbuka sana kujisajili.naomba mnisaidie tafadhali kwani nikishasajili jina then nikitoka na nikijaribu kuingia inakataa nifanyeje?
Habari wana ndugu.mimi ninaipenda sana jf ila ninasumbuka sana kujisajili.naomba mnisaidie tafadhali kwani nikishasajili jina then nikitoka na nikijaribu kuingia inakataa nifanyeje?
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 May 1, 2012 Thread starter #2 Tatizo langu liko wapi kujisajila jf?
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,576 2,071 May 1, 2012 #3 Karibu sana. Subiri wataalamu watakuja muda si mrefu.
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,046 54,335 May 2, 2012 #5 Karibu sana ila mbona tayari uko sana .