Msaada wa dharura unahitajika

Marire

JF-Expert Member
May 1, 2012
12,326
5,266
Habari wana ndugu.mimi ninaipenda sana jf ila ninasumbuka sana kujisajili.naomba mnisaidie tafadhali kwani nikishasajili jina then nikitoka na nikijaribu kuingia inakataa nifanyeje?
 
Tatizo langu liko wapi kujisajila jf?
 
Karibu sana. Subiri wataalamu watakuja muda si mrefu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…