MSAADA WA DAWA KWENYE MAHINDI

MSAADA WA DAWA KWENYE MAHINDI

GREGO

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
4,282
Reaction score
2,938
Heshima kwemu wanaJF,
Nimeamua kuingia kwenye kilimo cha mahindi ya kuchoma ila nimekutana na changamoto ya wadudu wanaoharibu majani ya mahindi.

Naombeni msaada wa dawa gani nitumie.
Picha ziko chini

475cf221df16f7610cc25e9fb2f6b4cd.jpg
377eccd4290ca88c90a03178717718d3.jpg
 
Ahsante sana mkuu kwa ushauri.

Je, nikipiga hiyo dawa yatarudi kwenye hali nzuri au ning'oe maana karibu robo tatu ya heka iko hivyo?
Using'oe, piga kwanza naamini itasaidia.. maana hata mm nishawahi kutumia na imenisaidia
 
Back
Top Bottom