NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,299
- 1,809
Shukrani nyingi kwa wana JF, kwa kuwa msaada katika nyanja mbalimbali.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo eleza, naomba msaada namna ya kupata dawa inayoitwa TREVO.
Nina mgonjwa tumeona unaweza msaidia, mimi nipo TDM boda hivyo kama kuna mtu anaishi mbeya analijua duka au mawasiliano naomba.
Niliwahi ingia semina zao na kutumia vipeperushi vyao pamoja na no ya SIMU yao kumsaidia mgonjwa ila sasa nimevipoteza.
Ahsante ni matumaini yangu kuwa nitasaidiwa
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo eleza, naomba msaada namna ya kupata dawa inayoitwa TREVO.
Nina mgonjwa tumeona unaweza msaidia, mimi nipo TDM boda hivyo kama kuna mtu anaishi mbeya analijua duka au mawasiliano naomba.
Niliwahi ingia semina zao na kutumia vipeperushi vyao pamoja na no ya SIMU yao kumsaidia mgonjwa ila sasa nimevipoteza.
Ahsante ni matumaini yangu kuwa nitasaidiwa