DIFFENDA
Member
- Jun 23, 2013
- 70
- 13
Habari wanna jf, tafadhali ninaomba msaada wa anayefahamu taratibu za kufungua ofisi za court brokers. Nipo interested kufungua hizo ofisi kutokana na changamoto nilizoziona mkoani kwangu. Mahakama inapotaka kuuza Mali za wadaiwa wanaagiza broker mkoa jirani. Mwenye mawazo au ushauri naomba tuwasiliane