Msaada wa connection za kazi za ICT

Unatafuta nafasi ya kazi unatarajia boss akupe email yake ili umtumie project? Kwa nini graduate mnakuwa wazembe kufikiri hivi?
Haya unadhani mtu aliyeweka link za project zake public na wewe unayesubiri wakupe email uzitume nani atapata nafasi? Acha uzembe, kuwa serious angalau kidogo basi. Otherwise utakaa home miaka na miaka. Dunia imebadilika!
Asante kwa wazo nalifanyia kazi
 
Unatafuta nafasi ya kazi unatarajia boss akupe email yake ili umtumie project? Kwa nini graduate mnakuwa wazembe kufikiri hivi?
Haya unadhani mtu aliyeweka link za project zake public na wewe unayesubiri wakupe email uzitume nani atapata nafasi? Acha uzembe, kuwa serious angalau kidogo basi. Otherwise utakaa home miaka na miaka. Dunia imebadilika!
Wacha kuvunja watu moyo ww, kwani lazma aweke project zake public ndio apate kazi? nyinyi ndio mnaocopy paste idea za watu kisha mnapigia hela. Ashakwambia mpe email kama uko interested shida iko wapi.
 
Wacha kuvunja watu moyo ww, kwani lazma aweke project zake public ndio apate kazi? nyinyi ndio mnaocopy paste idea za watu kisha mnapigia hela. Ashakwambia mpe email kama uko interested shida iko wapi.
🤣🤣🤣🤣
Mwenyewe ana akili, kaelewa nini namaanisha. Unaweza kuandika tena na tena ulichokiandika. Ongeza sauti na majirani wasikie basi.

So much funny!
 
Nahitaji msaada Wenu tayari nisha tengeneza system mbili ambazo zina presentation layer , business logic, data access na storage . nimetumia php, JavaScript, html na css nipotayari kuonyesha izo project kwa mtu atayekuwa tayari kunisaidia
 
Mimi ni kijana wa 25 mkazi wa mbeya mjini .nimemaliza chuo kwa levels ya degree nimesoma ICT katika iyo field niko vizuri kwenye database ususani katika oracle na mysql katika kufanya designing (ERD) na Database administration.

Kwenye programming language ni java, java scripts, php na python. Html na css for Web development na mwisho niko ni networking katika IP na addressing lan and vlan configuration.

Samahani kwa kuandika haraka natanguliza shukurani.

Namba ya simu 0759211359
Uko vizuri sana. Nakusahauri kazi zikitangazwa utume maombi. Pia unaweza kuanzisha kampuni yako na kufanya consultancy. Mwanzo huwa mgumu lakini ukivumilia utafanikiwa
 
Uko vizuri sana. Nakusahauri kazi zikitangazwa utume maombi. Pia unaweza kuanzisha kampuni yako na kufanya consultancy. Mwanzo huwa mgumu lakini ukivumilia utafanikiwa
Ilo la kujiajili ndo lengo langu napenda kutumia ict yangu kusimamia mambo yangu saiz natamani kazi ilinipate kujifunza zaid nakujua mambo mengi na kupata connection
 
Nahitaji msaada Wenu tayari nisha tengeneza system mbili ambazo zina presentation layer , business logic,data access na storage .nimetumia php,JavaScript,html na css nipotayari kuonyesha izo project kwa mtu atayekuwa tayari kunisaidia
Ungeweka link github au gitlab halafu weka link kweny profile zako zote ikiwemo ya LinkedIn. Jaribu kutafuta contributors kwenye forums technical. Huwezi jua link itafika wapi na nani atakuwa interested na projects zako. Usisahau kuweka Email kwenye source codes zako au angalau kwenye Readme.

Kila la heri!
 
Mimi ni kijana wa 25 mkazi wa mbeya mjini .nimemaliza chuo kwa levels ya degree nimesoma ICT katika iyo field niko vizuri kwenye database ususani katika oracle na mysql katika kufanya designing (ERD) na Database administration.

Kwenye programming language ni java, java scripts, php na python. Html na css for Web development na mwisho niko ni networking katika IP na addressing lan and vlan configuration.

Samahani kwa kuandika haraka natanguliza shukurani.

Namba ya simu 0759211359
nondo zote hizo kama ni za kweli unahangaika nini kuajiriwa,wakubwa wanasema tujiajiri vp umesahau hilo
 
Uko vizuri sana. Nakusahauri kazi zikitangazwa utume maombi. Pia unaweza kuanzisha kampuni yako na kufanya consultancy. Mwanzo huwa mgumu lakini ukivumilia utafanikiwa
Moja kati ya shida zinazowanyima vijana weru kazi, pamoja na sababu nyingine ni pupa ya kutaka kujiajiri. Yaani mtu anaomba kazi kama kijiwe cha kujibanza wakati anataka kuchomoka.

Hii imesababisha wasiwe loyal kwa waajiri wao, wanawinda wateja wa kuondoka nao na matokeo yake wanakosa trust ya waajiri wao. Ndio maana unakuta kuna sehemu Watanzania ni nafasi za chini, juu wanao deal na wateja na kuleta na kusimamia kazi si Watanzania au ni ndugu wa mwenye biashara.

Wenye uwezo mkubwa hawataki vijana, wanataka watu wazima kwa sababu wao huwa wametulia na wanaheshimu na kuthamini kazi.

Kujiajiri sio njia pekee ya mafanikio. Kukua na biashara ya mwajiri wako ni njia nyingine. Steve Ballmer kama sikosei ni moja kati ya matajiri wakubwa kwa kuwa alimfanyia kazi kubwa sana Bill Gates na Microsoft yake
 
ndiyo siyo tu kuwahi hata sasa nimechelewa na uza bado
Basi sasa uache kuwadanganya wenzako ambao hawajajiajiri bado. Angalia rate ya vijana wa "IT" "waliojiajiri" ambao wanahangaika sasa kutafuta kazi. Ataweza kupambana na watu wenye uzoefu kwenye wateja na yeye hana hata mwaka kwenye ulingo?

Wasaidieni vijana kwa kuwaambia ukweli! Kama kweli umejiajiri which I doubt, usiwe unawapotosha wengine!
 
Basi sasa uache kuwadanganya wenzako ambao hawajajiajiri bado. Angalia rate ya vijana wa "IT" "waliojiajiri" ambao wanahangaika sasa kutafuta kazi. Ataweza kupambana na watu wenye uzoefu kwenye wateja na yeye hana hata mwaka kwenye ulingo?

Wasaidieni vijana kwa kuwaambia ukweli! Kama kweli umejiajiri which I doubt, usiwe unawapotosha wengine!
Siyo kuwapotosha kama una digri ya IT na hakuna ajira na huwezi kujiajiri wewe umesoma tu ila bado hujaeleimika,na kama ni hivyo wewe mpe sasa ajira kama unayo kama unaona hawezi kushindana na kushindana huko ndo kuelimika kwake labda kama alisoma tu
 
Kwa kweli nilikuwa sina project ila niliiamua kuingia jikon tayar nishaandaa project yangu ambayo iko tayari kwa matumizi kwa mtu yoyote aliye tayari kuiona anaweza nitumia email yake iliaweze kuiona iyo project. Pia kwenye iyo project sijatumia library yoyote code zimepigwa moja kwa moja
Mkuu nilichogundua wewe hujui kitu chochote na sina uhakika na uwezi wako kama kweli unaweza kucode, unadai haujatumia library yeyote? Sasa umewezaje kuandika code na umetumia language gani hiyo ambayo haina library zake?.
Labda nikusaidie katika kucode library lazima utumie kulingana na programing language unayotumia, ila tu unaweza usitumie framework katika kucode yaani ukacode from the scratch, so umechanganya kati ya library na framework.
Kingine cha kukushauri siku izi kampuni nying wanataka watu wenye ujuzi wa ku interact na framework kwa ajiri ya security issue coz ukitengeneza kasystem kako from scratch hautawezi kuimplement security yaani vulnerabilities zitakuwepo za kutosha, jifunze kucode kwa kutumia framework.
 
Mkuu nilichogundua wewe hujui kitu chochote na sina uhakika na uwezi wako kama kweli unaweza kucode, unadai haujatumia library yeyote? Sasa umewezaje kuandika code na umetumia language gani hiyo ambayo haina library zake?.
Labda nikusaidie katik kucode library lazima utumie kulingana na programing language unayotumia, ila tu unaweza usitumie framework katika kucode yaani ukacode from the scratch, so umechanganya kati ya library na framework.
Kingine cha kukushaur siku izi kampun nying wanataka watu wenye ujuzi wa ku interact na framework kwa ajiri ya security issue coz ukitengeneza kasystem kazo from scratch hautawez kuimplement security yaani vulnerabilities zitakuwepo za kutosha, jifunze kucode kwa kutumia framework.
Unapokuwa una mkosoa mtu kwa hoja/ushauri, sio vizuri kutumia maneno "WEWE HUJUHI KITU CHOCHOTE" kwa sababu yeye alichokieleza hapa ndicho hicho anachokijua mkuu.
 
Mimi ni kijana wa 25 mkazi wa mbeya mjini .nimemaliza chuo kwa levels ya degree nimesoma ICT katika iyo field niko vizuri kwenye database ususani katika oracle na mysql katika kufanya designing (ERD) na Database administration.

Kwenye programming language ni java, java scripts, php na python. Html na css for Web development na mwisho niko ni networking katika IP na addressing lan and vlan configuration.

Samahani kwa kuandika haraka natanguliza shukurani.

Namba ya simu 0759211359
Fungua acc upwork, programmers are in high demand na pay ni $50 per hour Average.
 
Nahitaji msaada Wenu tayari nisha tengeneza system mbili ambazo zina presentation layer , business logic, data access na storage . nimetumia php, JavaScript, html na css nipotayari kuonyesha izo project kwa mtu atayekuwa tayari kunisaidia
Mkuu ningependa kufahamu ni aina Gani za system umetengeneza na application zake zinatumika wapi
 
Mkuu nilichogundua wewe hujui kitu chochote na sina uhakika na uwezi wako kama kweli unaweza kucode, unadai haujatumia library yeyote? Sasa umewezaje kuandika code na umetumia language gani hiyo ambayo haina library zake?.
Labda nikusaidie katika kucode library lazima utumie kulingana na programing language unayotumia, ila tu unaweza usitumie framework katika kucode yaani ukacode from the scratch, so umechanganya kati ya library na framework.
Kingine cha kukushauri siku izi kampuni nying wanataka watu wenye ujuzi wa ku interact na framework kwa ajiri ya security issue coz ukitengeneza kasystem kako from scratch hautawezi kuimplement security yaani vulnerabilities zitakuwepo za kutosha, jifunze kucode kwa kutumia framework.
Nitafanya ivyo ila niliamua kuanza hivi ilikujifunza vizur tayar nishaa anzakutumia laravel,vue.js ,bootstrap
 
Nawashukuru wote mliochangia thread hii na mnaendelea kuchangia kwa kweli mnanijenga kuja kuwa bora .ila naomba msaada wenu nimeitwa kwenye interview kama system developer naomba msaada wa possible questions❓ili nijipange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom