Habari wakuu ,
Kama kichwa cha habar kinavyosema ndugu yenu naomba connection ya kazi
Nimekua nikizunguka kwa muda mrefu kutafta kazi hapa dar es salaam bila ya mafanikio
Nimetuma Cv kila kwenye kituo cha afya hapa mjini ila sjawahi kupigiwa simu hata sehemu moja
Elimu yangu ni diploma ya medical lab
Nilifanya kazi health centre moja ila ikawa na mgogoro na mwenye jengo mwisho wa siku wafanya kazi tukapunguzwa
Ni kwa miezi kadhaa sasa nipo tu nyumbani bila kitu cha kujishughulisha najua mnaelewa ni jinsi gani inakua stressful hii hali
Najua humu mna kila aina ya watu ma officers, wamiliki wa hospital, wamiliki wa vituo vya afya wamiliki wa maduka ya vifaa tiba etc hizo ni sehemu ambazo naweza kufanya kazi
Ila hata ikitokea kazi nje ya ujuzi wangu nipo tayar kufanya ilimradi tu nipate kitu cha kujishughulisha
Kama yote yameshindikana hata nafasi ya kujitolea najua huko nitapata connection zaid
Ahsanteni wakuu ,natanguliza shukrani
Kama kichwa cha habar kinavyosema ndugu yenu naomba connection ya kazi
Nimekua nikizunguka kwa muda mrefu kutafta kazi hapa dar es salaam bila ya mafanikio
Nimetuma Cv kila kwenye kituo cha afya hapa mjini ila sjawahi kupigiwa simu hata sehemu moja
Elimu yangu ni diploma ya medical lab
Nilifanya kazi health centre moja ila ikawa na mgogoro na mwenye jengo mwisho wa siku wafanya kazi tukapunguzwa
Ni kwa miezi kadhaa sasa nipo tu nyumbani bila kitu cha kujishughulisha najua mnaelewa ni jinsi gani inakua stressful hii hali
Najua humu mna kila aina ya watu ma officers, wamiliki wa hospital, wamiliki wa vituo vya afya wamiliki wa maduka ya vifaa tiba etc hizo ni sehemu ambazo naweza kufanya kazi
Ila hata ikitokea kazi nje ya ujuzi wangu nipo tayar kufanya ilimradi tu nipate kitu cha kujishughulisha
Kama yote yameshindikana hata nafasi ya kujitolea najua huko nitapata connection zaid
Ahsanteni wakuu ,natanguliza shukrani