msaada wa code za kuformat nokia E5

zima simu

bonyeza nyota (*) tatu (3) na kitufe cha kupigia simu then washa simu huku umevibonyeza
 
chief mkwawa hii inaapply kwa nokia zote au?..mimi simu yangu haionyeshi kitu kwenye gallery...kama vipi nilikuwa nafikiria niformat ..nikiformat siitakuwa kama mwanzo au kuna system files inabidi niziweke manually???
 
chief mkwawa hii inaapply kwa nokia zote au?..mimi simu yangu haionyeshi kitu kwenye gallery...kama vipi nilikuwa nafikiria niformat ..nikiformat siitakuwa kama mwanzo au kuna system files inabidi niziweke manually???

Yah nokia zote zenye button, kama ni touch screen hio ni case nyengine

Kumbuka kutoa memory card, utapoteza data zote
 
nadhan hiyo formula inakubari kwa simu kuanzia s60 mkuu maana mimi kuna simu kibao za nokia uwa zinakataa hiyo kitu ngoja walete feed back
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom