chief mkwawa hii inaapply kwa nokia zote au?..mimi simu yangu haionyeshi kitu kwenye gallery...kama vipi nilikuwa nafikiria niformat ..nikiformat siitakuwa kama mwanzo au kuna system files inabidi niziweke manually???
yangu touch
hiyo formula ni ya symbian S60 3rd edition tu. Kama sio 3rd edition hatafanya
zima simu
bonyeza nyota (*) tatu (3) na kitufe cha kupigia simu then washa simu huku umevibonyeza
mkuu hii inakuwaje? Nina Nokia 2700 classic, nimejaribu nimeshindwa
Simu yako ni s40 jibu lilitolewa kwa s60 unatakiwa kubonyeza *#7370# kama alivoelekeza jamaa hapo juu
mkuu nimejaribu kubofya ikiwa on inaniandikia unknown result
mkuu nimejaribu kubofya ikiwa on inaniandikia unknown result