Ulishasikia lini hayo mashirikisho yamepewa posho ya mabilioni?acheni kujipendelea jamaniShukuru kwanza kabla ya kuanza kufanya hayo mahesabu ya darasa la nne.
Nilidhani ungeuliza Vyama vya matajiri kama shirikisho la wenye wiwanda, chama cha wamiliki wa mabasi ya mikoani, chemba ya wanyabiashara mbona hatuwasikii?