chairman mao
Member
- Mar 15, 2011
- 38
- 4
Tarehe 11/4/2012 niliishiwa bundle yangu ya bomba 30.hivyo nikanunua 30,000 za muda wa maongezi kutoka kwenye line yangu ya vodacom kwenda kwenye line nyingine ya vodacom ambayo huwa naitumia kwenye modem.
manunuzi nimeyafanya 11:00am na msg ya manunuzi nikaipata kuwa nimepokea 30,000 ya muda wa maongezi.
Name:
Number: Vodacom
Content:
Umepokea Tsh 30000.00 na NYONGEZA ya asilimia 25.Salio lako jipya ni Tsh 30000.00. Kumb. 444270891215052680.Kujua salio lako la NYONGEZA, piga *102*01#.
Time: 11/04/2012 11:00:16
Baada ya hapo nikatuma meseji ya kujiunga na bomba30 lakini nikapata ujumbe huu.
Name:
Number: Vodacom
Content:
Salio lako halitoshi kununua kifurushi cha Data.Tafadhali ongeza salio lako na kisha jaribu tena au nunua kifurushi kidogo cha data.
Time: 11/04/2012 11:02:07
Baada ya hapo nikatazama salio na kukuta ni 14,000 badala ya 30,000.
Instantly nikapiga customer care kuulizia hela yangu ilipoenda na mpaka leoo hii sijafanikiwa kurudishiwa hela yangu.
Nimefanya jitihada zote za kupiga simu na mara zote kila anaepokea simu ananipiga kiswahili na wala haoneshi kutambua kama nilishapiga simu na kutoa malalamiko yangu.
Naombeni msaada wenu ndugu zangu ili wanirudishie hela yangu.
manunuzi nimeyafanya 11:00am na msg ya manunuzi nikaipata kuwa nimepokea 30,000 ya muda wa maongezi.
Name:
Number: Vodacom
Content:
Umepokea Tsh 30000.00 na NYONGEZA ya asilimia 25.Salio lako jipya ni Tsh 30000.00. Kumb. 444270891215052680.Kujua salio lako la NYONGEZA, piga *102*01#.
Time: 11/04/2012 11:00:16
Baada ya hapo nikatuma meseji ya kujiunga na bomba30 lakini nikapata ujumbe huu.
Name:
Number: Vodacom
Content:
Salio lako halitoshi kununua kifurushi cha Data.Tafadhali ongeza salio lako na kisha jaribu tena au nunua kifurushi kidogo cha data.
Time: 11/04/2012 11:02:07
Baada ya hapo nikatazama salio na kukuta ni 14,000 badala ya 30,000.
Instantly nikapiga customer care kuulizia hela yangu ilipoenda na mpaka leoo hii sijafanikiwa kurudishiwa hela yangu.
Nimefanya jitihada zote za kupiga simu na mara zote kila anaepokea simu ananipiga kiswahili na wala haoneshi kutambua kama nilishapiga simu na kutoa malalamiko yangu.
Naombeni msaada wenu ndugu zangu ili wanirudishie hela yangu.