Msaada: Vipimo vya hii ramani, nimeikwapua sehemu

Ndugu zangu!

Hebu turahisishe maisha, mawazo ya kitaalamu yanahitajika zaidi. Lakini hakuna BIASHARA.

Kwa ujenzi wa kisasa, weka vipimo vya mzingo na vyumba bila kujali ukubwa wa kiwanja.

Natanguliza shukrani.
View attachment 1984040
Ncha Kali.
Hii nyumba ni kubwa. Kwa mahesabu ya haraka haraka Urefu x Upana sio chini ya 18mx 15m hivi. Binafsi hua sipendi sebule ikae katikati ya nyumba maana itakua haina hewa, ningekua ni mimi hiyo sebule ningeipeleka kulia ili iwe na madirisha mbele na pembeni halafu dinning ndio ije katikati.
 
Ndugu zangu!

Hebu turahisishe maisha, mawazo ya kitaalamu yanahitajika zaidi. Lakini hakuna BIASHARA.

Kwa ujenzi wa kisasa, weka vipimo vya mzingo na vyumba bila kujali ukubwa wa kiwanja.

Natanguliza shukrani.
View attachment 1984040
Ncha Kali.
Naweza kutumia ScaleFactor nikaweka Detailed Dimensions ndani ya Dakika 10 tu
Tatizo nikikusaidia nitakuwa nimeshiriki Wizi uliofanya
 
Naweza kutumia ScaleFactor nikaweka Detailed Dimensions ndani ya Dakika 10 tu
Tatizo nikikusaidia nitakuwa nimeshiriki Wizi uliofanya

Una dhambi ngapi mkuu hadi ukwepe hii ya wizi wa kusaidia?

Hebu rahisisha maisha bhana.
 
Mkuu asante kwa kuja, unaweza kusaidia kwa namna yoyote nzuri kwako. Ila kama ukinipa nafasi nichague, mimi hata ukiweka hapo tu nitaelewa.

Mfano:
Urefu na upana wa jengo.
Sebule, jiko, dining, chumba 1-4…. ukiweka urefu na upana kwa namna rahisi inatosha kueleweka.

So far nimekadiria jengo liwe 17mx13m.
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
  • master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
  • sitting room 5m( sawa na verandah)
  • Dining 3.5m
  • Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Jumla kwa mbele ni 14.8m

Kwa nyuma (rear view)
  • sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
  • store 1.2m
  • bedroom 3.5m
  • sh 1.2m
  • wc 1.2m
  • bedroom 3m
  • bedroom 3.5m
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m

Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
  • sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
  • master room 4m
  • choo Cha master room 1.5m
  • choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
  • bedroom 3.5m
  • sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m

Kwa pembeni kushoto(left view)
  • sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
  • dining 2.7m
  • kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
  • store 2.5m
  • sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
  • sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m

Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m

Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi ndio mkandarasi niliyeshindikana
 
Hii nyumba ni kubwa. Kwa mahesabu ya haraka haraka Urefu x Upana sio chini ya 18mx 15m hivi. Binafsi hua sipendi sebule ikae katikati ya nyumba maana itakua haina hewa, ningekua ni mimi hiyo sebule ningeipeleka kulia ili iwe na madirisha mbele na pembeni halafu dinning ndio ije katikati.
Acha ujuaji, haiwezi kufika ukubwa huo
 
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
  • master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
  • sitting room 5m( sawa na verandah)
  • Dining 3.5m
  • Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Jumla kwa mbele ni 14.8m

Kwa nyuma (rear view)
  • sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
  • store 1.2m
  • bedroom 3.5m
  • sh 1.2m
  • wc 1.2m
  • bedroom 3m
  • bedroom 3.5m
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m

Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
  • sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
  • master room 4m
  • choo Cha master room 1.5m
  • choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
  • bedroom 3.5m
  • sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m

Kwa pembeni kushoto(left view)
  • sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
  • dining 2.7m
  • kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
  • store 2.5m
  • sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
  • sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m

Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m

Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi ndio mkandarasi niliyeshindikana
Wewe ni zaidi ya mkandarasi... Umejibu maswali yangu mengi big up mkuu
 
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
  • master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
  • sitting room 5m( sawa na verandah)
  • Dining 3.5m
  • Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Jumla kwa mbele ni 14.8m

Kwa nyuma (rear view)
  • sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
  • store 1.2m
  • bedroom 3.5m
  • sh 1.2m
  • wc 1.2m
  • bedroom 3m
  • bedroom 3.5m
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m

Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
  • sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
  • master room 4m
  • choo Cha master room 1.5m
  • choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
  • bedroom 3.5m
  • sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m

Kwa pembeni kushoto(left view)
  • sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
  • dining 2.7m
  • kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
  • store 2.5m
  • sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
  • sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m

Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m

Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi ndio mkandarasi niliyeshindikana
Boss hapo hizo Dimensions....ni ndani ya chumba au nje ( ukijumlisha na kuta) ?
 
Una dhambi ngapi mkuu hadi ukwepe hii ya wizi wa kusaidia?

Hebu rahisisha maisha bhana.
Hiyo hapo! Jiachie! Pdf niliyoattach kwenye post #30 itakufaa zaidi!
Screenshot_20211028-003323_Drive.jpg
 
Umetisha sana mkuu, nawashukuru wote na kipekee shukrani kwa mtani wangu mhandisi Countrywide
Sikubaliani na huo ukubwa, 16 kwa 14 ni matumizi mabaya ya nafasi na pesa.
Imagine ikiwa hivi
  • sitting room 5×5.5
  • master room 4×4.5
  • bedroom za kawaida 3.5×3.5
  • kitchen 3.5×4
Kwa ukubwa huo wa vyumba na ambao ni mzuri sana na nafasi inakuwa ya kutosha Sana, nyumba inakuja 14.8 kwa 12.7
Sasa hiyo 16 kwa 14 ni too much, ukubwa huu ningeelewa endapo kungekuwa na ziada ya vyumba vingine mfano: study room, gym n.k. Ila sio kwa vyumba hivyo hapo kwenye mchoro
 
Back
Top Bottom