Ukipata naomba na mimi tamani nzuri sanaNdugu zangu.!
Hebu turahisishe maisha, mawazo ya kitaalamu yanahitajika zaidi. Lakini hakuna BIASHARA.
Kwa ujenzi wa kisasa, weka vipimo vya mzingo na vyumba bila kujali ukubwa wa kiwanja.
Natanguliza shukrani.
View attachment 1984040
Ncha Kali.
Mlango wa pili wa kutokea hakuna?Ndugu zangu.!
Hebu turahisishe maisha, mawazo ya kitaalamu yanahitajika zaidi. Lakini hakuna BIASHARA.
Kwa ujenzi wa kisasa, weka vipimo vya mzingo na vyumba bila kujali ukubwa wa kiwanja.
Natanguliza shukrani.
View attachment 1984040
Ncha Kali.
Ramani nzuri sana--Ndugu zangu.!
Hebu turahisishe maisha, mawazo ya kitaalamu yanahitajika zaidi. Lakini hakuna BIASHARA.
Kwa ujenzi wa kisasa, weka vipimo vya mzingo na vyumba bila kujali ukubwa wa kiwanja.
Natanguliza shukrani.
View attachment 1984040
Ncha Kali.
Mlango wa pili wa kutokea hakuna?
Hapoasima kuwe na Angola mwingine wa dharau au ni ndogo sioni?
Nini kifanyike kurekebisha hiyo hali?Mapungufu yake. Corridor itakosa mwanga wa asili.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kubadili kidogo ramani au kuweka bati linalopitisha mwanga.Nini kifanyike kurekebisha hiyo hali?
Upo jikoniMlango wa pili wa kutokea hakuna?
Hapoasima kuwe na Angola mwingine wa dharau au ni ndogo sioni?
Hongera ramani nzuri sana.Ndugu zangu.!
Hebu turahisishe maisha, mawazo ya kitaalamu yanahitajika zaidi. Lakini hakuna BIASHARA.
Kwa ujenzi wa kisasa, weka vipimo vya mzingo na vyumba bila kujali ukubwa wa kiwanja.
Natanguliza shukrani.
View attachment 1984040
Ncha Kali.
Hongera ramani nzuri sana.
Wasiliana na UVIMO CIVIL WORK GROUP amabao ni watoa huduma kwenye nyumba (ONE STOP CENTER)
Watakutengenezea BQ yako nzuri.
0629361896
0753927572 +wasap
View attachment 1985071View attachment 1985072
Kwa nini usiwaombe "Jenga nao" wakusaidie vipimo, bila shaka umeitoa kwao...
Hata hivyo mara nyingi vipimo hutegemea wewe wahitaji nini, mathalani wataka chumba cha kulala kiwe 3m x 3m au 3m x 3.5m n.k n.k
Mkuu hujawahi kuona mabati ya mwanga yanavyofanya kazi?Bati litapitisha mwanga kwenye gypsum? La hasha.!
Mwanga kutokea jikoni unatosha sana, unatosha sana tu kwenye corido.
Huna unalojua. Corridor zote za kisasa hazina direct contact na ventsMkuu hujawahi kuona mabati ya mwanga yanavyofanya kazi?
Mi nashindwa nikusaidiaje, nichore hiyo ramani alafu niweke vipimo nikupe au niandike hapa vipimo?