instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,383
- 14,197
Asubuhi unasimama?Mkuu nkipiga nyeto uume hausimami
Asubuhi unasimama?Mkuu nkipiga nyeto uume hausimami
Hii nayo inaweza kuwa tatizo lingine.Au umepoteza feelings kwa mkeo?
Yaah huwa inatokeagaHii nayo inaweza kuwa tatizo lingine.
Unakula vizuri mzee, vipi ni mnene sana au una ugonjwa wowote mwingine, sukari pressure? kama ni mnene sana, anza mazoezi haraka.Hapana uume ulikua strong Ila Kuna nyakati zilikua inatokea zakushindwa uume kulala
Inatokea Kama yaan Ile yeye mim nahitaji yeanaonekana Ile staki nataki zero ushirikiano au hata yeye akiwa anahitaji mim hutokea hiyo haliIkitokea hali hiyo mkeo au partner wako huwa anaongea au kufanya nini, nini msimamo wake?
Nasimamisha freshi tu Ila nkiamka asubuh imesimama Kama sekunde 30 hivi inalalaAsubuhi unasimama?
Chunguza yafuatayo kwanza.Msaaada Kama kichwa habari kilivoeleza hapo juu nna miaka34 nimeoa nawatoto wawili shida niliyonayo niuume kusimama kidogo Sana na hata kabla yakuuweka ukeni unalala nasiwezi Tena hata uume kustuka kusimama
Nko tabora mjini
Usiku wamanane nkiamka kukojoa au asubuh nkiamka uume umesimama freshi tu Kama sekunde30Nilitaka kukuambia kwamba mke wako hakupendi au wewe huna hisia na mke wako ndio maana unakua hiyo. Ila kwa hili jibu nimeona unamatatizo haswa looh, asubuhi hua uume unasimama lakini??
Kama jibu ni hapana.
Tafadhali tafuta waganga wakusaidie either umelogwa au kitofu kiliangukia dudu lako ukiwa mdogo
Kula vizur nivyakula vyakawaida wali ugali chai pia Sina kisukar Wala presha Ila nimeongezeka uzito nna kila75 na mwili wa unene yaanUnakula vizuri mzee, vipi ni mnene sana au una ugonjwa wowote mwingine, sukari pressure? kama ni mnene sana, anza mazoezi haraka.
iliwahi kutokea kwa jamaa yangu na akadhani amerogwa,lakini tulimpa ushauri wa kwenda kwa dr wa wanawake na alipatiwa dawa za kumponya na shida ikaisha kabisa,wakati huwa ni shida za homony ambazo huwapata sana kina mama,sasa inapokuja kwa wababa,matatizo kama yako hujitokeza.Unakula vizuri mzee, vipi ni mnene sana au una ugonjwa wowote mwingine, sukari pressure? kama ni mnene sana, anza mazoezi haraka.
Basi una mawazo...Nasimamisha freshi tu Ila nkiamka asubuh imesimama Kama sekunde 30 hivi inalala
Una kimo cha urefu gani kwa centimeter?Kula vizur nivyakula vyakawaida wali ugali chai pia Sina kisukar Wala presha Ila nimeongezeka uzito nna kila75 na mwili wa unene yaan
Hapana sjawahiMkuu kama umewahi tembea na Mke wa mtu au binti wa mzee yeyote hapo Tabora basi ndo Michezo, tuliosoma Tabora boys na Milambo tunajua kama hakuna basi wahi hospitali
Kabisa jamaa ana hofu kubwa ya kuto kusimamisha, na inaonekana mkewe hana ushirikiano kabisa ana analeta dharau, sasa jamaa anaishiwa pozi kabisa. Nadhani hapa yeye na mkewe wangeenda kuona talaamu wa saikologia ili kuwaweka sawa na kuielewa hiyo hali. kifupi mzee huna shida, tatizo lako ni hofu tu.Basi una mawazo...
Akili yako ndo inashida.
164cmUna kimo cha urefu gani kwa centimeter?
Ahsante kwa ushauri nami hofu imetawala napia mke ushirikiano upo finyu ikitokea nashindwa nae anaghadhabika nasio kunipa moyoKabisa jamaa ana hofu kubwa ya kuto kusimamisha, na inaonekana mkewe hana ushirikiano kabisa ana analeta dharau, sasa jamaa anaishia pozi kabisa. Nadhani hapa yeye na mkewe wangeenda kuona talaamu wa saikologia ili kuwaweka sawa na kuielewa hiyo hali. kifupi mzee huna shida, tatizo lako ni hofu tu.