Msaada: Utumaji pesa kwa kutumia Western Union

Msaada: Utumaji pesa kwa kutumia Western Union

Zasasule

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2009
Posts
1,001
Reaction score
103
Habari zenu wakuu,

Ninahitaji kutuma pesa internationally kutoka Tanzania kwenda India. Njia kuu nilizozisikia ni Western Union na Moneygram..

Katika hizi ipi ni bora na kwa nini? Je, makato yake yanakuwaje? Especially kutoka Tanzania kwenda India? Na nchi nyingine je inakuwa vipi?

Maelezo niliyopewa wakati naulizia hii huduma;
Nimeenda Bank fulani hapa Dar, jibu walilosema ni kuwa wao wanapokea Tz wakati wa ku-send, yaani hawatumi Dollar direct, so inabidi ufanye exchange to Tz ndo utume. Je, huu ndo utaratibu? lazima iwe TZS na siyo Foreign Currency?

Je, neno la siri siyo lazima?? couse wamesema kwao wao hawatumii neno la siri, but wanatumia MTCN...

Msaada, nimekwama, nahisi kama pana utapeli hapa...

Natanguliza shukrani..
 
Mie huwa natumia moneygram makato yao si makubwa, ila western union na express money makato yao hunikimbiza hasa unapotuma kiasi kikubwa cha pesa
 
Sijawahi kutumia moneygram, kuhusu western money nilazima itumike local currency ya nchi unayotuma pesa na anaepokea atapokea kwa currency ya hiyo nchi aliko. Kama ni pesa nyingi kwa nini usifanye bank transfer japo umesema umeshauriwa njia mbili.

Kwa upande wa neno la siri, MTCN number ndio unamtumia huyo mpokeaji ili aweze kupatiwa pesa. Unatakiwa pia uandike swali na umtumie mpokeaji jibu la hilo swali pia.
 
Ngoja nijaribu kueleza kuhusu WU kuna baadh ya bank zina system inayokubali kutuma local currency na mpokeaji anapokea local currency ya nchi aliko na system nyingine zinaruhusu $ kwenye kutuma na kupokea hivyo hakuna utapeli hapo ni uamuzi wako, wanachotaka ni wewe kwenda na TZS so unaweza kuchange popote. Na kuhusu swali na MTCN kuna baadhi ya nchi za Ulaya na Asia swali na jibu sio lazima kinachomata hasa ni hiyo Money Transfer Centre Number (MTCN), However make sure unapewa receipt iliyoprintiwa kutoka kwenye system ya Western union
 
Ngoja nijaribu kueleza kuhusu WU kuna baadh ya bank zina system inayokubali kutuma local currency na mpokeaji anapokea local currency ya nchi aliko na system nyingine zinaruhusu $ kwenye kutuma na kupokea hivyo hakuna utapeli hapo ni uamuzi wako, wanachotaka ni wewe kwenda na TZS so unaweza kuchange popote. Na kuhusu swali na MTCN kuna baadhi ya nchi za Ulaya na Asia swali na jibu sio lazima kinachomata hasa ni hiyo Money Transfer Centre Number (MTCN), However make sure unapewa receipt iliyoprintiwa kutoka kwenye system ya Western union

shukran kaka kwa fikra zako,, umejibu masuali yangu .. Tatizo bank niliyokwenda hakunipa ufafanuzi mzuri huyo muhusika...
 
shukran kaka kwa fikra zako,, umejibu masuali yangu .. Tatizo bank niliyokwenda hakunipa ufafanuzi mzuri huyo muhusika...


Benki nzuri kwa huduma za WU ni Tanzania postal Bank wao ndio wakala mkuu hapa TZ....

ila nakushauri utumie Moneygram au Worldremit gharama zao ziko chini mno ukilinganisha na western union ambao ni ghali Sana...
 
Benki nzuri kwa huduma za WU ni Tanzania postal Bank wao ndio wakala mkuu hapa TZ....

ila nakushauri utumie Moneygram au Worldremit gharama zao ziko chini mno ukilinganisha na western union ambao ni ghali Sana...
Mkuu Lusungo hebu nieleweshe hii Worldremit ipo vp hii? Nipo ughaibuni ,na nilikuwa natumia sana W/Union. Wamenipiga Ban. Na si peke yangu niliekumbana na hiyo Pin, tumepigwa pin wengi ambao tunatuma pesa kwenye nchi zetu kila mara. Ipo huduma nyingine naitumia kutuma Pesa Tanzania, lakini pesa inachukua muda mrefu kufika. Hebu nipe shule mkuu, ipo vp hii Worldremit labda naweza kuhamia huko mambo yakaenda mswano.
 
Mkuu Lusungo hebu nieleweshe hii Worldremit ipo vp hii? Nipo ughaibuni ,na nilikuwa natumia sana W/Union. Wamenipiga Ban. Na si peke yangu niliekumbana na hiyo Pin, tumepigwa pin wengi ambao tunatuma pesa kwenye nchi zetu kila mara. Ipo huduma nyingine naitumia kutuma Pesa Tanzania, lakini pesa inachukua muda mrefu kufika. Hebu nipe shule mkuu, ipo vp hii Worldremit labda naweza kuhamia huko mambo yakaenda mswano.


Okay kwanza pole mkuu...

Pili why umepigwa ban?

Tatu iko hivi... Unaenda kwenye website ya worldremit then unajisajili na kusajili kadi au akaunti ya malipo then unaanza kutuma...

Hii ni njia rahisi Sana na nafuu kwani kuna option tatu za kutuma hela 1. Via bank... 2. Mobile money 3. Airtime..

Sasa wewe waweza tuma kwa mobile money (tigopesa ndo wanatoa huduma hii) then unaemtumia atapokea ujumbe kisha atalipwa two hours within local business time... Hii ni njia rahisi kuliko kupitia bank coz hapa bongo unachukulia PBZ (people's bank of Zanzibar) tu na hawana mtandao mkubwa so best way tumia Mobile money na gharama ni sawa na bure....
 
Mkuu kuna hii website inaitwa " World remit"
Mimi ndiyo ninayotumia kutuma fedha popote pale duniani. Very reliable & super cheap .
 
Okay kwanza pole mkuu...

Pili why umepigwa ban?

Tatu iko hivi... Unaenda kwenye website ya worldremit then unajisajili na kusajili kadi au akaunti ya malipo then unaanza kutuma...

Hii ni njia rahisi Sana na nafuu kwani kuna option tatu za kutuma hela 1. Via bank... 2. Mobile money 3. Airtime..

Sasa wewe waweza tuma kwa mobile money (tigopesa ndo wanatoa huduma hii) then unaemtumia atapokea ujumbe kisha atalipwa two hours within local business time... Hii ni njia rahisi kuliko kupitia bank coz hapa bongo unachukulia PBZ (people's bank of Zanzibar) tu na hawana mtandao mkubwa so best way tumia Mobile money na gharama ni sawa na bure....

Shukrani mkuu.
Wester Union hawana sababu wanapokufungia. Hata ukiwauliza huwa hawatoi sababu. Huwa wanajibu tu kuwa taratibu zao haziruhusu kutoa sababu. Na mara nyingi hufanya hivyo kwa wale wanaotuma pesa kwenye nchi zao mara kwa mara. Labda mambo ya Money Laundering ndio huwafanya wafanye hivyo. Niliwasiliana nao na kujaribu kuwapa kila ushahidi wa uhalali wa pesa ninazotuma na umuhimu wake kule ziendako, lakini hawakunielewa. Na nilipigwa Pin toka Sept. Mwaka jana. mwaka huu April nikajaribu kutuma Pesa lakini ikashindikana. Natumia tu njia zingine ,ingawa pesa huchelewa lakini zinafika.
Mkuu W/Union sometimes pasua kichwa.
 
Shukrani mkuu.
Wester Union hawana sababu wanapokufungia. Hata ukiwauliza huwa hawatoi sababu. Huwa wanajibu tu kuwa taratibu zao haziruhusu kutoa sababu. Na mara nyingi hufanya hivyo kwa wale wanaotuma pesa kwenye nchi zao mara kwa mara. Labda mambo ya Money Laundering ndio huwafanya wafanye hivyo. Niliwasiliana nao na kujaribu kuwapa kila ushahidi wa uhalali wa pesa ninazotuma na umuhimu wake kule ziendako, lakini hawakunielewa. Na nilipigwa Pin toka Sept. Mwaka jana. mwaka huu April nikajaribu kutuma Pesa lakini ikashindikana. Natumia tu njia zingine ,ingawa pesa huchelewa lakini zinafika.
Mkuu W/Union sometimes pasua kichwa.


Okay hamia worldremit mkuu ni tulizo la kichwa....
 
tumia moneygram ndio huduma ya cheap kwa cost ya kutumia kwa nchi nchi kutokea Tanzania. Western Unioni watakukata pesa nyingi sana sana jitahidi kuikwepa haswa unapotuma pesa kutoka Tanzania kwenda OVERSEAS
 
Back
Top Bottom