willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Wadau nasumbuliwa nikikojoa nasika utamu sana usio wa kawaida ndani ya uume au nikibinya uume nasika raha kama ile ya kufika kileleni. Mimi nina miaka 20. Au nikipigapiga uume kwenye mkono nasikia utamu, tatizo ni nini? Sio Kaswende au Gonorea?