The nightwalker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2025
- 1,157
- 1,530
ndo maana nikakukumbusha kuwa jamaa amesema anaomba ushauri kwenye kufuga mbuzi, na sio kuanzisha hotel ya nyama ya mbuzi!Siwezi kudhani kuwa atawasubiri labda yeye mwenyewe angesema kama atawasubiri