Msaada: Ushauri wa ufugaji wa mbuzi kibiashara

Msaada: Ushauri wa ufugaji wa mbuzi kibiashara

Hua naogopa sana kula nyama ya mbuzi, niliwah kula nyamachoma nikaamka kesho yake miguu inauma kwenye magoti, tokea hiyo siku nikaitema, mwaka wa 15 huu
 
Mkuu zingatia pia kufuga mbuzi inahitaji busara sana tofauti na hapo utawaua wote🙌🏿🙌🏿, wale jamaa wasumbufu sana. Hata hivyo Kila la kheri mkuu, ingia YouTube mtafute jamaa mmoja anaitwa hamiisi ssemanda ni mganda ana nondo nyingi sana.
 
Mbuzi usifuge, wanunue/wakusanye unawafanyia fattening/kunenepesha miezi miwili mitatu unawauza.

Ukifuga mbuzi kwa leo la kuwazalisha wawe wengi hayo maisha yako hayatabadirika. Waige wasomali, wananunua mbuzi wadogo wadogo minadani, wanawaweka kwenye mazizi yao ya muda, wwananenepesha miezi mitatu l, wana sort wanawauza mikoani. Hujawahi kutana na fuso tandam imejaa mbuzi wanapelekwa mjini?

Mbuzi wakutengeneze mzunguko, nunua uza. Maana mbuzi hana magonjwa, ila ni msumbufu kumfuga kwa lengo la kumzalisha.

Nenda pembeni kwa kutulia, unanunua mbuzi ambae ukimhudumia miezi mitatu anafaa kuliwa na kuuzwa. Unakusanya kwa bei ndogo, unakuja muuza kwa bei kubwa. Kila baada ya miezi minne unatoa mbuzi shambani kupeleka sokoni, wanazunguka. Ukianza sijui uwazalishe wafike kadhaa utachelewa.
Huu udalali wa wale wauzaji na wanunuzi wa vyuma chakavu..
 
Back
Top Bottom