Aisee ndugu Mungu akubariki sanaaa.Mbuzi usifuge, wanunue/wakusanye unawafanyia fattening/kunenepesha miezi miwili mitatu unawauza.
Ukifuga mbuzi kwa leo la kuwazalisha wawe wengi hayo maisha yako hayatabadirika. Waige wasomali, wananunua mbuzi wadogo wadogo minadani, wanawaweka kwenye mazizi yao ya muda, wwananenepesha miezi mitatu l, wana sort wanawauza mikoani. Hujawahi kutana na fuso tandam imejaa mbuzi wanapelekwa mjini?
Mbuzi wakutengeneze mzunguko, nunua uza. Maana mbuzi hana magonjwa, ila ni msumbufu kumfuga kwa lengo la kumzalisha.
Nenda pembeni kwa kutulia, unanunua mbuzi ambae ukimhudumia miezi mitatu anafaa kuliwa na kuuzwa. Unakusanya kwa bei ndogo, unakuja muuza kwa bei kubwa. Kila baada ya miezi minne unatoa mbuzi shambani kupeleka sokoni, wanazunguka. Ukianza sijui uwazalishe wafike kadhaa utachelewa.
Mkuu mwaarabu yupi wa moro mkuu uniunganishe..Usilenge soko la tarime tu , unaweza fuga huko tarime ila ukapata soko Tanzania nzima na hata nnje , huko moro kuna mwarabu mmoja anakula pesa ya mbuzi kama mwehu , anapeleka mpaka arabuni kipindi cha mfungo
Hakika hata mimi niliwaza magena maana kuna maeneo makubwa mnoo pia ni pa kijani.Nakushaur tafta eneo kule magena au nyandoto ndo uwafuge..ukiwafuga mjin magonjwa yatawaandama sana.au la tafta wafugaji wakubwa waaminifu wape wakufigie angalau kwa mkataba wa mwaka 1 ili ujifunze mbinu zao kisha baada ya huo mda kuisha utakuwa umejijenga kwa kuwa na eneo zuri na utakuwa na maarifa ya kutosha jins ya kuzikabili changamoto zao
kama unataka kufuga madume au mixer.Ndugu zangu nipo Tarime, nafikiria kufanya ufugaji wa mbuzi, nisaidieni madini ni namna gani naweza kufaidika na mradi huu na kubadilisha maisha yangu
Ahsante mkuukama unataka kufuga madume au mixer.
kama mixer chagua wadogo na size ya kati na madume kama watatu af na jike jama kumi na tano...?
Upo moro? Sehemu ganiMkuu mwaarabu yupi wa moro mkuu uniunganishe..
Mkuu mimi cipo moro nipo nje nipo manyara lakin karbu na kibaigwa kwahy ukinipa location nitafkaUpo moro? Sehemu gani
Mkuu mimi cipo moro nipo nje nipo manyara lakin karbu na kibaigwa kwahy ukinipa location nitafkaUpo moro? Sehemu gani
Nimekutumia pmMkuu mimi cipo moro nipo nje nipo manyara lakin karbu na kibaigwa kwahy ukinipa location nitafka
mkuu pm yangu inasumbua kwahy nipigie tubonge 0623297330Nimekutumia pm
Hii ni zaidi ya shule💯💯Mbuzi usifuge, wanunue/wakusanye unawafanyia fattening/kunenepesha miezi miwili mitatu unawauza.
Ukifuga mbuzi kwa leo la kuwazalisha wawe wengi hayo maisha yako hayatabadirika. Waige wasomali, wananunua mbuzi wadogo wadogo minadani, wanawaweka kwenye mazizi yao ya muda, wwananenepesha miezi mitatu l, wana sort wanawauza mikoani. Hujawahi kutana na fuso tandam imejaa mbuzi wanapelekwa mjini?
Mbuzi wakutengeneze mzunguko, nunua uza. Maana mbuzi hana magonjwa, ila ni msumbufu kumfuga kwa lengo la kumzalisha.
Nenda pembeni kwa kutulia, unanunua mbuzi ambae ukimhudumia miezi mitatu anafaa kuliwa na kuuzwa. Unakusanya kwa bei ndogo, unakuja muuza kwa bei kubwa. Kila baada ya miezi minne unatoa mbuzi shambani kupeleka sokoni, wanazunguka. Ukianza sijui uwazalishe wafike kadhaa utachelewa.
wewe unaonekana mtoto wa mama,.?Kwanza jua kwamba hawashibag wale jamaa
Aisee umejianika mwenyewe kisa biashara ya mbuzimkuu pm yangu inasumbua kwahy nipigie tubonge 0623297330
Hilo ni shoga mkuu😂😂😂wewe unaonekana mtoto wa mama,.?
wa kumwaga mura hapa stend tuna kura mbuzi plus kichuri kwenda mbele kila siku yaani wateja ni wengi sana muraAhsante mura, vp tarime nitapata wateja wa mbuzi mura weito??
Ahsante mura.wa kumwaga mura hapa stend tuna kura mbuzi plus kichuri kwenda mbele kila siku yaani wateja ni wengi sana mura
Hiyo ndio bab kubwa, unapata pesa kwa haraka sana bila kuvumilia vipindi vingi vyenye changamoto lukuki vya ufugajiAhsante mura.
Kuna mtu amechangia hapo na nimependa hoja yake ya kununua wadogo na kuwanenepesha then niwauze. Unaonaje hii idea? Itaniwezesha kupata wateja wa kununua?
Jumapili rebu kuna mnada wa mbuzi pia kuna mnada gani mwingine wa mbuzi unaoujua?
Karibuni
Hakika mkuu na pia nimeona moja ya njia ni kuwaweka katika banda na kuwalisha vizuri kuliko kutembea sana kujitafutia hii inapunguza energy na uzito wao.Hiyo ndio bab kubwa, unapata pesa kwa haraka sana bila kuvumilia vipindi vingi vyenye changamoto lukuki vya ufugaji
SafiHakika mkuu na pia nimeona moja ya njia ni kuwaweka katika banda na kuwalisha vizuri kuliko kutembea sana kujitafutia hii inapunguza energy na uzito