Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 667
- 1,648
Ndugu zangu nipo Tarime, nafikiria kufanya ufugaji wa mbuzi, nisaidieni madini ni namna gani naweza kufaidika na mradi huu na kubadilisha maisha yangu
Ahsante banduguNgoja waje , kila la heri
Kabisa , ila ufugaji wa mbuzi ni bingo vibaya mnoMtafute vet aliyoko karibu yako akupe Elimu ya ufugaji Bora na wenye tija
😃Kama unataka kuwafuga kwa kuwapeleka malishoni ,jifunze kwanza mbio za hapa na pale ili miguu ikomae vyema maana wale jamaa wanapendwa kufukuzwa sana
Of course,Kabisa , ila ufugaji wa mbuzi ni bingo vibaya mno
kila la heri tata mwitaKARIBUNI WAKUUU
MSIWE WAZITO KUSAIDIANA
Akifungua na kijisehemu cha kupata mchemsho safi wa mbuzi , ataokota pesa kwenye mifukoOf course,
ukifuga kitaalam ukichagua breed nzuri,malisho,matibabu hii inajumuisha.. sindano za minyoo, Multivitamin,chanjo...nk lazima upate profit tu
tarime sehemu kubwa ni kijani kibichi ardhi iko safi sanaKwanza jua kwamba hawashibag wale jamaa
sahihi kabisa,Akifungua na kijisehemu cha kupata mchemsho safi wa mbuzi , ataokota pesa kwenye mifuko
Hapo umeula mkuu fanya mradi huotarime sehemu kubwa ni kijani kibichi ardhi iko safi sana
🤣🤣🤣Kama unataka kuwafuga kwa kuwapeleka malishoni ,jifunze kwanza mbio za hapa na pale ili miguu ikomae vyema maana wale jamaa wanapendwa kufukuzwa sana
Ufugaji biashara unayo pesa nzuri sana
sahihi kabisa,
Ahsante mura, vp tarime nitapata wateja wa mbuzi mura weito??kila la heri tata mwita
Usilenge soko la tarime tu , unaweza fuga huko tarime ila ukapata soko Tanzania nzima na hata nnje , huko moro kuna mwarabu mmoja anakula pesa ya mbuzi kama mwehu , anapeleka mpaka arabuni kipindi cha mfungoAhsante mura, vp tarime nitapata wateja wa mbuzi mura weito??
Naunga mkono hojaMbuzi usifuge, wanunue/wakusanye unawafanyia fattening/kunenepesha miezi miwili mitatu unawauza.
Ukifuga mbuzi kwa leo la kuwazalisha wawe wengi hayo maisha yako hayatabadirika. Waige wasomali, wananunua mbuzi wadogo wadogo minadani, wanawaweka kwenye mazizi yao ya muda, wwananenepesha miezi mitatu l, wana sort wanawauza mikoani. Hujawahi kutana na fuso tandam imejaa mbuzi wanapelekwa mjini?
Mbuzi wakutengeneze mzunguko, nunua uza. Maana mbuzi hana magonjwa, ila ni msumbufu kumfuga kwa lengo la kumzal