2010 nikiwa kidato Cha kwanza ndipo tatzo lilianza japo nilion ni Hali ya kawaida tu lakin kadiri muda ulivyoenda limekuwa tatizo sugu kwangu mpaka namalizs fomu 4 sikuwa na rafiki Wala ukaribu na watu nilikuwa bubu nilitmn kuongea ila niliponyanyua tu MDOMO kila mtu aliziba pua na MDOMO.
Historia ni ndefu Sana nimehangaik tiba sana za asili mpaka hosipitalini ila nimeshndwa.
Imefika muda kitendo cha kupishna tu na mtu njian tayari ashaziba pua.
Nateseka Watanzania wenzangu naombeni msaada hata wa ushauri natembea na MSWAKI yaan napata shida sana sijui wap nitapona mimi ndugu zangu niwe kama wengine nicheke kama wengine niongee nipigie stori.
Nimekuwa mtu wa kujitenga kila muda nimetumia dawa mbalimbali nmesafish mpk meno lakin Hali bado mbaya Sana.
Historia ni ndefu Sana nimehangaik tiba sana za asili mpaka hosipitalini ila nimeshndwa.
Imefika muda kitendo cha kupishna tu na mtu njian tayari ashaziba pua.
Nateseka Watanzania wenzangu naombeni msaada hata wa ushauri natembea na MSWAKI yaan napata shida sana sijui wap nitapona mimi ndugu zangu niwe kama wengine nicheke kama wengine niongee nipigie stori.
Nimekuwa mtu wa kujitenga kila muda nimetumia dawa mbalimbali nmesafish mpk meno lakin Hali bado mbaya Sana.