Majimengi22
Member
- Aug 30, 2016
- 9
- 2
Jamani mimi nina ya kupangisha nina wapangaji 7 japokuwa nyumba sio ya kisasa saaana lakini nina tatizo moja. Kuna baadhi ya wapangaji wamepanga hapa kwa muda mrefu sana sasa tumekuwa kama ndugu lakini tatizo sasahivi hawataki kunipa kodi kama inavyotakiwa.
Na mimi nawaonea huruma sijui aibu siwezi kuaambia wahame. Sasa tatizo limekuja mtaro wa kuzuia maji umeharibika wamenipgia simu wameniambia wanahitaji nitengeneze huo mtaro na pesa hawajanipatia bado nawadai pesa nyingi.
Wengine wamekaa huu mwez wa 4 hawajatoa kodi... NIFANYE NINI JAMANI.
Na mimi nawaonea huruma sijui aibu siwezi kuaambia wahame. Sasa tatizo limekuja mtaro wa kuzuia maji umeharibika wamenipgia simu wameniambia wanahitaji nitengeneze huo mtaro na pesa hawajanipatia bado nawadai pesa nyingi.
Wengine wamekaa huu mwez wa 4 hawajatoa kodi... NIFANYE NINI JAMANI.