willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
- Thread starter
- #21
NIT/BME/2016/579 SHORA WILLIAM
William shora nimekukumbuka mzee nachukua namba yako nitakutafutaNdugu wanaJF mdogo wenu nimekwama kabisa hivo naitaji ushauri, msaada au harambee ntafushukuru sana. Imebaki week moja tu tufanye mtihani 12/02/2018 wa kumaliza semester one mwaka wa masomo 2017/2018 ni hapa CHUO CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT), bado/nimeshindwa/mama angu ameshindwa kupata hela ya ada muhula huu wa masomo ambayo ni 800,000 TSH kati ya 1,500,000 ya mwaka mzima,
kutokana na hali ngumu ya maisha iliyobadika miaka minne iliyopita.
Ndugu wanaJF mimi niko mwaka wa pili mechanical engineering niliomba mkopo mara mbili na kukata rufaa lakini nilikosa mkopo japo nasoma kozi yenye kipaumbele, nasoma kwa shida nadownload maji ya bomba najibana pesa ya matumizi.
Ndugu wanaJF imefika hatua sipati usingizi, nikisoma sielewi nawaza tu hiyo ada na je ndo mwisho wa elimu yangu? Mimi ninachotaka ni ushauri, msaada au harambee ambae ataguswa na hili watu mia nane wanatosha kabisa kuniwezesha kupata ada kwa kunichangia 1000 TU au chochote kitu iliniweze kufanya mtihani.
0762165498-William shora
MKUU Naomba uoneshe sehemu ambayo nimeomba hela ya mtu hapo... niliandika hili kuonesha kuwa wahanga wa kukosa mkopo tuko wengimimi mwenyewe niko hapa ST.JOHNS DODOMA hapa... sijui nitalipa nini na mitihani ya semester inaanza mwezi wa tatu mapema kabisa,,, nailaani sana serikali ya CCM . haiwezekani ndani ya taifa moja serikali inabagua wanafunzi wa kuwasomesha. yaani ndani ya tanzania moja kuna wananchi wana haki ya kuhudumiwa na serikali na wengine hawana. DHAMBI YA UBAGUZI.
Lazima tukwambie kwani ww ni nani hapa JF? Hata ungekuwa JPM nakwambia tu!!!!mkuu heshima kitu cha bure
Duh kazi ipo hapa ..kama ni tapeli mbio zake hazitachukua roundhaupo siriaz mtoa mada...... siwezi kukupa pole yangu, utakuwa tapeli.
kwenye post zako unaonekana una mishe mishe sana mpaka za magari, simu nk. laki nane unakosa ? ok sio hoja, unaweza kukosa.
tukuamini vp ? kuna wadau wamekuambia weka full details hapo, naona umeng'ang'ania kusema wakucheki kwa mawasiliano zaidi. unadhani waliopo hapa ni watoto wenzio ? au ni wa kolomije ?
kama kweli una shida weka details zifuatazo utasaidiwa.
1. majina yako matatu (yaliyopo kwenye vyeti vyako)
2. cheti cha form four/six
3. barua kutoka kwa dean wako
4. reg number yako ya chuo
5. account namba yako ya chuo, huwezi kupewa hela cash ukaweke heshima bar, utaingiziwa kwenye akaunti moja kwa moja. hata kama hela zitachangwa, mods wanaweza kuweka utaratibu mzuri akakusanya mtu mmoja alafu zikawekwa kwa akaunti ya chuo.
niambiwe kwa kitu nilichofanya sawa, ila kwa nisichofanya si sahihi. hakuna mahala andiko langu limeomba mchango wa mtu hapo.Lazima tukwambie kwani ww ni nani hapa JF? Hata ungekuwa JPM nakwambia tu!!!!
Wale wanaohoji uthibitisho wa kijana, ndio huu hapa sasa, tuchange kijana afanye UEwakuu kesho kesho ntaweka hapa barua ya uthibitisho kutoka kwa dean kuthibitisha ni mwanafunzi , mimi sio tapeli namba yangu ya chuo hii hapa NIT/BME/2016/579 SHORA WILLIAM
Je hii ya leo? Ya hela kuwa una umwa?niambiwe kwa kitu nilichofanya sawa, ila kwa nisichofanya si sahihi. hakuna mahala andiko langu limeomba mchango wa mtu hapo.
hapana ni hili andiko la huyu mwanachuo mwenzangu alikua akiomba msaada wa ada. anasema ni mimi ninatapeli kuwa na siku io niliomba katika andiko hili, ilhali nilikua mchangiaji tu wa mada na ukisoma comment yangu utaona.Je hii ya leo? Ya hela kuwa una umwa?
Pole sana kijana.wakuu kesho kesho ntaweka hapa barua ya uthibitisho kutoka kwa dean kuthibitisha ni mwanafunzi , mimi sio tapeli namba yangu ya chuo hii hapa NIT/BME/2016/579 SHORA WILLIAM
Kama huwezi kumsaidia si unyamaze tu kakuomba elf moja tuu unaandika yote haya je angekuomba msaada wa kupelekwa kutibiwa nje unge fanya nini...jaribu kuvaa viatu vyake..kaweka namba mpigie kama unataka kumsaidia...dunia hii bhana ndio maana mungu hakumpa binadamu nafasi ya kugawa riziki au OXYGENhaupo siriaz mtoa mada...... siwezi kukupa pole yangu, utakuwa tapeli.
kwenye post zako unaonekana una mishe mishe sana mpaka za magari, simu nk. laki nane unakosa ? ok sio hoja, unaweza kukosa.
tukuamini vp ? kuna wadau wamekuambia weka full details hapo, naona umeng'ang'ania kusema wakucheki kwa mawasiliano zaidi. unadhani waliopo hapa ni watoto wenzio ? au ni wa kolomije ?
kama kweli una shida weka details zifuatazo utasaidiwa.
1. majina yako matatu (yaliyopo kwenye vyeti vyako)
2. cheti cha form four/six
3. barua kutoka kwa dean wako
4. reg number yako ya chuo
5. account namba yako ya chuo, huwezi kupewa hela cash ukaweke heshima bar, utaingiziwa kwenye akaunti moja kwa moja. hata kama hela zitachangwa, mods wanaweza kuweka utaratibu mzuri akakusanya mtu mmoja alafu zikawekwa kwa akaunti ya chuo.
Usihangaike kujibu wanao kuita tapeli kwa kuwaomba msaada ya elf tu...achana nao wanaotaka kukusaidia huwa hawana haya umesha weka namba yako basi atakaye kusaidia atakusaidia other wise utapata stress nyingineNdugu wanaJF mdogo wenu nimekwama kabisa hivo naitaji ushauri, msaada au harambee ntafushukuru sana. Imebaki week moja tu tufanye mtihani 12/02/2018 wa kumaliza semester one mwaka wa masomo 2017/2018 ni hapa CHUO CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT), bado/nimeshindwa/mama angu ameshindwa kupata hela ya ada muhula huu wa masomo ambayo ni 800,000 TSH kati ya 1,500,000 ya mwaka mzima,
kutokana na hali ngumu ya maisha iliyobadika miaka minne iliyopita.
Ndugu wanaJF mimi niko mwaka wa pili mechanical engineering niliomba mkopo mara mbili na kukata rufaa lakini nilikosa mkopo japo nasoma kozi yenye kipaumbele, nasoma kwa shida nadownload maji ya bomba najibana pesa ya matumizi.
Ndugu wanaJF imefika hatua sipati usingizi, nikisoma sielewi nawaza tu hiyo ada na je ndo mwisho wa elimu yangu? Mimi ninachotaka ni ushauri, msaada au harambee ambae ataguswa na hili watu mia nane wanatosha kabisa kuniwezesha kupata ada kwa kunichangia 1000 TU au chochote kitu iliniweze kufanya mtihani.
0762165498-William shora
naona umejifungulia ID mpya na kuja kujijibu comments ulizopewa. ondoa utapeli hapa, kuchangiwa sio ishu weka details hapa. amna hela za bure bure pumbavu.Kama huwezi kumsaidia si unyamaze tu kakuomba elf moja tuu unaandika yote haya je angekuomba msaada wa kupelekwa kutibiwa nje unge fanya nini...jaribu kuvaa viatu vyake..kaweka namba mpigie kama unataka kumsaidia...dunia hii bhana ndio maana mungu hakumpa binadamu nafasi ya kugawa riziki au OXYGEN
Mimi napingana na wewe kwa mawazo yako. Ninaye ndugu yangu anasoma shahada ya kwanza ya udaktari Muhimbili amenyimwa mkopo na serikali kwa kigezo kuwa alisoma private o level. Ni mwaka wa pili sasa lakini hata ada ya semester hii ya pili hajalipa. Ameandika barua kwa makamu mkuu wa chuo ya kuomba alipe taratibu na amepewa mpaka March kabla ya mtihani awe amelipa. Kumbuka maisha yanabadilika sana, mzazi huyo huyo aliyemsomesha o level private sasa hana chochote. Hapa anasoma kwa kuchanga changa make hata mashamba ya kuuza yameshaisha. Yaani ni shida tu. Kwa hiyo unaposema vipaumbele vipo vyuo vya serikali Mimi nakupinga.Usiilaum serikali, maana vyuo vya serikali havina wanafunzi then vyuo binafsi vinajaza wanafunzi na ndo maana ukitaka mteremko soma vyuo vy serikali
Mie nitamlipia zote ndio ujue watu wote sio kama ww....naona umejifungulia ID mpya na kuja kujijibu comments ulizopewa. ondoa utapeli hapa, kuchangiwa sio ishu weka details hapa. amna hela za bure bure pumbavu.