uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,077
- 8,907
Habari ndugu,
Natarajia kusafiri kuelekea Geita siku ya Jumanne, naomba kujua basi zuri kwa safari na pia nauli yake na jambo lolote la kutakiwa kujua niwapo kwenye safari hiyo.
Sijawahi kabisa kwenda huko ila nimepangwa huko kikazi na natarajia kuanza maisha yangu huko. Sio mbaya mkinijulisha na Guest nzuri ikiwa nitafika usiku.
Asanteni sana
Natarajia kusafiri kuelekea Geita siku ya Jumanne, naomba kujua basi zuri kwa safari na pia nauli yake na jambo lolote la kutakiwa kujua niwapo kwenye safari hiyo.
Sijawahi kabisa kwenda huko ila nimepangwa huko kikazi na natarajia kuanza maisha yangu huko. Sio mbaya mkinijulisha na Guest nzuri ikiwa nitafika usiku.
Asanteni sana