Lakini huyo mama nikampuuzia nikampeleka hospitali wamcheki lakini doctor akasema mtoto hana shina ila akaniambia nirudi akiwa ana miezi mitano maana wakati huo alikuwa na miezi minne.
Leo anamiezi mitano nikamrudisha hospitali na wanasema kweli anatatizo. Je ni kweli atakuja kuongea akikatwa? kama ni bubu mbona anasikia?