MSAADA - Ukumbi wa BUDGET Mikocheni

MSAADA - Ukumbi wa BUDGET Mikocheni

bunyebunye

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
530
Reaction score
677
Nawasalim wana jukwaa, Poleni na majukumu, naomba kwa anayefahamu ulipo ukumbi unaoitwa Budget maeneo ya mikocheni, anielekeze jinsi navyoweza kufika hapo, nikiwa natokea Tegeta. Nawasilisha kwenu wakuu.
 
Budget iko mikocheni mkuu au huko Tegeta/Baharı beach unakotokea?
 
Budget iko mikocheni mkuu au huko Tegeta/Baharı beach unakotokea?

Ni kweli mkuu, kuna mtu pia alisema anafahamu hii ya Bahari beach, lakn nafikiri huenda ipo na mikocheni, maana nimetumiwa sms ya interview ikinielekeza Budget Mikocheni mkuu
 
ukitoka tegeta ukipita ya mwenge shuka sayansi unaenda TCU au TPDC' hapo hapo unaona Bango, bila shaka tpdc wamekuita
 
ni brajec mkuu sio budget ipo karibu na TCU office, acsess bank ndio kijiwe chao cha kufanyia interview
 
Back
Top Bottom