Msaada: Ujumbe "Remove disks or other media..Press any key to restart"

Msaada: Ujumbe "Remove disks or other media..Press any key to restart"

chwechinyong

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
223
Reaction score
105
Habari wadau wa safu hii ya Science,

Naombeni msaada wenu wa kulitatua hili tatizo maana nimeshajaribu kila njia but no muafaka...nime-google but sijapata jibu lilonisaidia. Tatizo lenyewe ni kwamba, nimeformat laptop disk externally kwenye komputa nyingine baada ya kupata ujumbe huu "Remove disks or other media..Press any key to restart" kutoka kwenye original computer. Baada ya kuformat na kuirudisha ile hard disk katika original computer yake ujumbe huo bado unaendelea kuwepo. Nimejaribu another hard disk but the same message still comes up. Nimecheki setting za bios naona ziko poa kwenye booting. Kwa yeyote aliyekutana na tatizo kama hili au mwenye idea jinsi ya kulisolve tatizo hili, please your help is of paramount important to me. Msaada wenu wadau. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
hiyo hdd yako si haina window? Kama haina window ingia kwenye bios weka bootable option mfano kama ni cd au flash iwe ya kwanza ipige windows mashine then waweza rudisha hdd kama first option au ukaacha problem will be solved
 
Well, lazima itakua huna cd drive kwenye hiyo laptop, ndio maana ukaeleza mambo ya kutoa hard drive ku install kwenye computer nyingine

Sasa kwanza fahamu kitu kimoja, kama umetoa disk ukaenda install kwenye computer nyingine itaweza kufanya kazi tu ikiwa firmware specs zinaendana kati ya hizo computer 2

Unaweza fanikiwa kutumia njia hiyo kama uta install windows 98 au ME lakini xp onwards inakupa shida cause firmware ya compueter uliotoa disk haiendani na ile uliotumia kufanya installation

Kama unaweza install win98 format hiyo disk tena then install 98, ukiirudisha kwenye laptop ita boot cause 98 au ME hazichagui firmware.

Ukishaweza boot 98 upgrade to xp, unaweza fanya upgrade through external drive or even flash disk in case huna cd drive kwenye laptop. Just copy entire XP cd into flash disk and upgrade from within 98
 
Well, lazima itakua huna cd drive kwenye hiyo laptop, ndio maana ukaeleza mambo ya kutoa hard drive ku install kwenye computer nyingine

Sasa kwanza fahamu kitu kimoja, kama umetoa disk ukaenda install kwenye computer nyingine itaweza kufanya kazi tu ikiwa firmware specs zinaendana kati ya hizo computer 2

Unaweza fanikiwa kutumia njia hiyo kama uta install windows 98 au ME lakini xp onwards inakupa shida cause firmware ya compueter uliotoa disk haiendani na ile uliotumia kufanya installation

Kama unaweza install win98 format hiyo disk tena then install 98, ukiirudisha kwenye laptop ita boot cause 98 au ME hazichagui firmware.

Ukishaweza boot 98 upgrade to xp, unaweza fanya upgrade through external drive or even flash disk in case huna cd drive kwenye laptop. Just copy entire XP cd into flash disk and upgrade from within 98

huo mzunguko mkubwa kaka!!!
Kama computer yake ni yakisasa na haina Cd/Dvd ROM si atumie win to flash au windows 7 Usb DVD.
Google atapata hizo software akikwama arudi tumpe link
 
kwa hapo as i ges toa ram kwenye laptop af weka tenaaa,,hapo mzgo utaenda kama kawaida,
ukiona hyo ngumu toa hyo hard disk ako nenda kwa mashine nyngine inayowka ichomeka kama external af Iformat ukirudi kule endelea kupiga windows,
nadhan msg ya mwsho kupata walikuambia kuwa hamna drive ya cd rom wakat ukiweka cd inasomaaaa
 
kwenye hiyo bios setup yako HDD inaonekana vizuri na kwa size yake halisi? unapofanya installation toka kwenye CDROM inakuletea option ya kuformat Harddisk? maana hata kama machine haina Harddisk unaweza boot na cd ila itakwambia no Harddisk found wakati ikitaka kuanza ku - format HDD
 
Back
Top Bottom