Msaada; Tv za kichina nzuri ni zipi?

Msaada; Tv za kichina nzuri ni zipi?

1. Singsung
- (Hizi tv Ni roho ya paka miaka nenda miaka rudi), changamoto yake Ni single screen.

2. Tropical
- (skuhz zimeadimika Sana,ila msumari balaa, Bei zake Ni sawa na kina SONY, SAMSUNG N.K). Tunawauziaga sana watu wa serikali na ubalozi.

3. Homebase
- (Ni msumari balaa, Bei yake inakimbizana na kina Hisense, Lg n.k na hawauzii njaa.

4. Goodvision
(Brand ndogo, ila imara na picha quality Sana, baadae itakuja kua brand kubwa sn)

5. Boss
Nazo sio mbaya.

Hizi nyingine ulzotaja Ni za kawaida sana
hiyo namba moja kweli ni roho ya paka ninakimoja cha toka 2010 na kinawaka muda wote bar na hakijawahi piga shoti wala kusumba kitu chochote
 
Naomba kuuliza kwa mafundi na wajuzi, ni TV aina ipi za kichina ni nzuri au zina afadhali, kwa ubora, uimara, picha nzuri nk kushinda nyingine maana nasikia nyingine hazitimii hata zile inches za upana wa kioo.

Kuna MEWE, ALYONS, STAR ONE, STAR X, RISING, TCL, ALITOP, SOLAR MAX NK

Chukua mewe ni brand kubwa sana west africa pia ina warranty ya miaka miwili hakuna kampuni yoyote inayotoa warranty miaka miwili ni mewe tu hii brand kwatanzania ndo ameingia ila huko naija, Togo,Cameron,ivory coast nk huko ndo inafanya vizuri sana kama HISENCE inavyofanya vizuri tz
 
Chukua mewe ni brand kubwa sana west africa pia ina warranty ya miaka miwili hakuna kampuni yoyote inayotoa warranty miaka miwili ni mewe tu hii brand kwatanzania ndo ameingia ila huko naija, Togo,Cameron,ivory coast nk huko ndo inafanya vizuri sana kama HISENCE inavyofanya vizuri tz
Mkuu naona warranty ya miaka miwili Bado si hoja. Au muda wa kuishi tv ni miaka 2? Vipi ikifa wiki ya pili baada ya warranty kuisha?
 
Naomba kuuliza kwa mafundi na wajuzi, ni TV aina ipi za kichina ni nzuri au zina afadhali, kwa ubora, uimara, picha nzuri nk kushinda nyingine maana nasikia nyingine hazitimii hata zile inches za upana wa kioo.

Kuna MEWE, ALYONS, STAR ONE, STAR X, RISING, TCL, ALITOP, SOLAR MAX NK
1. Hisense
2. Xiaomi
3. TCL
4. Skyworth
5. Haier
6. Oneplus
7. Changhong

Hizo ni baadhi ya kampuni kubwa za kuaminika za kichina za Tv lakini na TUBEI TWAKE kdg TUMECHANGAMKA.
 
Naomba kuuliza kwa mafundi na wajuzi, ni TV aina ipi za kichina ni nzuri au zina afadhali, kwa ubora, uimara, picha nzuri nk kushinda nyingine maana nasikia nyingine hazitimii hata zile inches za upana wa kioo.

Kuna MEWE, ALYONS, STAR ONE, STAR X, RISING, TCL, ALITOP, SOLAR MAX NK
TCL utakuwa umetisha kinyama nyama, hizo zingine takataka tupa kule

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom