Msaada TV yangu ina tatizo

Msaada TV yangu ina tatizo

Samwel Meleka

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
601
Reaction score
269
0C36BD73-F0AF-40C6-B788-8B4F1B92BCC6.jpg


Ni Samsung 65” smart tv Curved

Ina mwezi 1 tangu ifike nilinunua China direct

Sasa juzi nikiwa naangalia mpira ghafla picha ikatoka nusu screen, kama dakika 5 hivi ikawa inabadili rangi, hatimae michirizi kama imedondoka au dizaini kama kioo kimevunjika

Ukweli haikuanguka hata kidogo na kabla ya hapo ilikua sawa tu

Pia Nilikua nikitumia flash ambayo ina Virus wa kutosha.

Mpaka sasa sijajua inaweza kua nini naombeni ushauri wenu waungwana.

Nikiizima baada ya muda kupita nikiwasha nakuta ipo Sawa kabisaa kila kitu

Hali hii inajirudia baada ya muda.
 
View attachment 1328386

Ni Samsung 65” smart tv Curved

Ina mwezi 1 tangu ifike nilinunua China direct

Sasa juzi nikiwa naangalia mpira ghafla picha ikatoka nusu screen, kama dakika 5 hivi ikawa inabadili rangi, hatimae michirizi kama imedondoka au dizaini kama kioo kimevunjika

Ukweli haikuanguka hata kidogo na kabla ya hapo ilikua sawa tu

Pia Nilikua nikitumia flash ambayo ina Virus wa kutosha.

Mpaka sasa sijajua inaweza kua nini naombeni ushauri wenu waungwana.

Nikiizima baada ya muda kupita nikiwasha nakuta ipo Sawa kabisaa kila kitu

Hali hii inajirudia baada ya muda.
T-con board imekufa tafuta mtu akufungie mpya. Ukikwama nipe model nikuagizie nje ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1328386

Ni Samsung 65” smart tv Curved

Ina mwezi 1 tangu ifike nilinunua China direct

Sasa juzi nikiwa naangalia mpira ghafla picha ikatoka nusu screen, kama dakika 5 hivi ikawa inabadili rangi, hatimae michirizi kama imedondoka au dizaini kama kioo kimevunjika

Ukweli haikuanguka hata kidogo na kabla ya hapo ilikua sawa tu

Pia Nilikua nikitumia flash ambayo ina Virus wa kutosha.

Mpaka sasa sijajua inaweza kua nini naombeni ushauri wenu waungwana.

Nikiizima baada ya muda kupita nikiwasha nakuta ipo Sawa kabisaa kila kitu

Hali hii inajirudia baada ya muda.

t-coin card imekufa .tv nyingi zina kufa kadi ya kuchanganya rangi unaweza kusema kioo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu siku hz huko madukani hakuna tv ..tv nyingi Zina majina ya brand kubwa lakini n copy ... Hiyo yako inaweza kua virus wamezingua coz maybe haikua na detection au t.con imezingua ... pole mkuu

One love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom