Habari wakuu,
Naomba ushauri wenu majuzi kati nilipata vijesent vyangu nikanunua tv ya hisense sasa nimetumia wiki mbili tu.
Juzi wakati nataka kuunganisha na subwoofer nashika wire naona tv imezima ghafla nikajaribu kila njia naona haiwaki, sasa wakuu naomba ushauri wenu nifanyaje.
Naomba ushauri wenu majuzi kati nilipata vijesent vyangu nikanunua tv ya hisense sasa nimetumia wiki mbili tu.
Juzi wakati nataka kuunganisha na subwoofer nashika wire naona tv imezima ghafla nikajaribu kila njia naona haiwaki, sasa wakuu naomba ushauri wenu nifanyaje.