Wana jamvi! Msaada tutani.
Hv kitendo cha kupiga kura ya kumchagua rais je nikumpa ajira asimamie chombo chetu kinachoitwa serikali au ni kumpa ruksa ya yeye kuwa mtawala wetu?? Its serious naitaji msaada. Inanichanganya kidogo.
Pili: mbunge ni kiongozi au ni muwakilishi wa wananchi tu (representative). Kama si kiongozi, hizi nguvu za kutoa ahadi ya kujenga na mengineyo yanatoka wapi? Nilitegemea zaidi watoe hoja za kutuwakilisha na kutetea vizuri badala ya kuahidi kujenga na mengineyo.toeni ufafanuzi mliobobea kwenye issue zinazohusu govt structure.nawakilisha
Hv kitendo cha kupiga kura ya kumchagua rais je nikumpa ajira asimamie chombo chetu kinachoitwa serikali au ni kumpa ruksa ya yeye kuwa mtawala wetu?? Its serious naitaji msaada. Inanichanganya kidogo.
Pili: mbunge ni kiongozi au ni muwakilishi wa wananchi tu (representative). Kama si kiongozi, hizi nguvu za kutoa ahadi ya kujenga na mengineyo yanatoka wapi? Nilitegemea zaidi watoe hoja za kutuwakilisha na kutetea vizuri badala ya kuahidi kujenga na mengineyo.toeni ufafanuzi mliobobea kwenye issue zinazohusu govt structure.nawakilisha