Naomba mtu yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hivi vyuo viwili vinavyotoa elimu ya kiwango cha shahada kwa njia ya mtandao:
1: Califonia Pacific University na
2. Frederick Taylor University.
Je, vyeti vyao vinakubalika kwa kutaka kuendelea na elimu ya juu hapa Tanzania?
1: Califonia Pacific University na
2. Frederick Taylor University.
Je, vyeti vyao vinakubalika kwa kutaka kuendelea na elimu ya juu hapa Tanzania?