Ndugu zangu wana JF,sisi wengine kompyuta tumekutana nazo ukubwani.Hebu nielekezeni avatar inatengenezwaje? nami nataka niwe nayo,long time nina appear kavu kavu its time now,naomba mnipe shule tafadhali!
wewe naona hata kutumia jf hujui, hapa ni jukwaa la picha, tafuta jukwaa husika tafadhari.
hajui ndo maana akakuomba wewe na mimi as great thinkers tumsaidie.kwani kakosea hapo mkuu?wewe naona hata kutumia jf hujui, hapa ni jukwaa la picha, tafuta jukwaa husika tafadhari.