Angalia unapopiga simuA.alleikhum,naomba kuelekezwa namna ya kurekodi calls,ongoing & incoming,kwa maana ya namna gani au ni kitufe kipi nibonyeze ili niweze kurekodi maongezi.
Device ni Samsung A12
Natanguliza shukrani za dhati...
Hiz A series nying kam co zote hazina call recordA.alleikhum,naomba kuelekezwa namna ya kurekodi calls,ongoing & incoming,kwa maana ya namna gani au ni kitufe kipi nibonyeze ili niweze kurekodi maongezi.
Device ni Samsung A12
Natanguliza shukrani za dhati...
Ok,nmejaribu ku-download application mbalimbali za kurekod(call recorders) hazi_function vzuri,hata ambazo wadau wameshauri kwenye huu uzi,au labda sijajua ipi itafit kwa device yangu?Hiz A series nying kam co zote hazina call record
basi yangu imenisumbua sana asee kumbe haipo kabisa ndo najua leoNa mimi natumia A10 naona haina call recoder nahisi hapa samsung walichemka kqenye hizi A series
Hawaja chemka hiyo ni feature nasio muhimu sana by the way unaweza ku download app inayofanya hivyo maisha yakaendelea.Na mimi natumia A10 naona haina call recoder nahisi hapa samsung walichemka kqenye hizi A series
Hapo ni virusi ama kuna program umeseti i sync automatic iki connect simu.Jaman msaada please Natumia simu ya Samsung Galaxy A12
Sasa nikichomeka USB kwenye kompyuta kuamishia nyimbo nilizo download toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta ... kuna mafile yanaingia yenyew kwenye simu hasa ya muzik alaf na picha zile za wallpaper za kompyuta zinaingia nazo kwenye simu iv hapo nawezaje kutatua tatizo hilo ili nikichomeka usb data yeyote kuingia kwenye simu mpaka niruhusu mimi
Kama ni virus mbona simu zingine azifanyi ivyo kuingiza mimafile bila ruhusa yanguHapo ni virusi ama kuna program umeseti i sync automatic iki connect simu.
Ungeanza na malware bytes, download hio program kisha scan machine yako.
Inawezekana umeeka sync software, hauna kies kwenye pc?Kama ni virus mbona simu zingine azifanyi ivyo kuingiza mimafile bila ruhusa yangu
Duh ! Sijawai kuona kitu kama hicho computer huwa haikosei ila wewe unaweza kukosea the way ulivyo i direct ndivyo itafanya au itakuambia hauko sahihi. Kwa ishu yako inaonyesha kuna misbehave.Jaribu ku restart computer then anza tena ku connect usb pia hakikisha usb settings ziko sawa kwenye simu yako wezesha usb debugging.Wadau wengine pia watakuja kukushauri ila ishu kama hiyo ina ukakasi i wish ningekuwa nayo pc ninge i solve just tryingJaman msaada please Natumia simu ya Samsung Galaxy A12
Sasa nikichomeka USB kwenye kompyuta kuamishia nyimbo nilizo download toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta ... kuna mafile yanaingia yenyew kwenye simu hasa ya muzik alaf na picha zile za wallpaper za kompyuta zinaingia nazo kwenye simu iv hapo nawezaje kutatua tatizo hilo ili nikichomeka usb data yeyote kuingia kwenye simu mpaka niruhusu mimi