Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
mm je nimekumiss sana vip lkn unaendeleajeNipo mdogo wangu, kwema lakini!!!
Nimekumiss sana
mm je nimekumiss sana vip lkn unaendeleajeNipo mdogo wangu, kwema lakini!!!
Nimekumiss sana
Naendelea vizuri mamy!!!mm je nimekumiss sana vip lkn unaendeleaje
namshkuru Mungu sana kikubwa uzimaNaendelea vizuri mamy!!!
Waionaje hali
Amina mamy!!namshkuru Mungu sana kikubwa uzima
Asante bora uwaambie maana wanajifajya hawaelewiWengi hamjamuelewa mleta mada tatizo la huyo mzee ni kwamba hajitumi yani yeye akifika anauweka tu. Yani kama mautundu yote inabaki kazi ya uyu bidada
Hahaha mwengine huyu hapa hajaelwwa somom
nyweshe viagra akakufie kabisa mkuu
Asante bora uwaambie maana wanajifajya hawaelewi
Hahaha mwengine huyu hapa hajaelwwa somo
Namm je nimekumiss sana vip lkn unaendeleaje
Sasa hivi fuji jamaa si mkaongee DM au?Amina mamy!!
Du pole!Wakuu mbona mim nikiwatokea hawa madem mara nyingi naambulia vibuti?
Dah!nimekuelewa sana sema muda mwingine tunaamua kufurahi tuu,kazi na dawa au hujui mkuu?
Wakuu mbona mim nikiwatokea hawa madem mara nyingi naambulia vibuti?
Njoo usome hii story itakusaidia approachWakuu mbona mim nikiwatokea hawa madem mara nyingi naambulia vibuti?
huyu uliyem quote au huyo aliyesababisha ulete thread,ok huyo wa kibabu mwambie aendelee kuwa na msimamo alafu siku nyingine kama unafanya one night stand show ajue na jinsi ya kuachana kabisa na huyo aliyefanya nae,tatizo alimuonjesha babu game tamu sasa babu anatakana take away,ikishindikana amtume mtu mwenye makamo kama yake amwambie kuwa yule binti hataki tena maoea na wewe maana atamganda hadi akomeDah!
Aya bana, barida!
Basi tumsaidie mdogo wetu huyu analia lia
Huyu hapa
Huyu mzee inabidi akamatwe anatukwamisha kwenda kwenye uchumi wa kati na viwanda!Habari zenu wana MMU,
Nimewamiss! nimekuwa buzy na kuandika story ila watu hawaishi kuniletea zao!
Shogangu: Money Penny buana nimekamatika vbaya mnoo au sijui nimekamatwa au nimejikamatisha
Kuna mzee mmoja, ana miaka 50, aliniona mara 1 tu nikiwa job, basi kila week lazima aje pale ofsini. Akifika tu anaomba nimchajie simu yake.
Siku ya siku uzalendo ukamshinda, simu ilipoletwa kuchajiwa nikapitishiwa ikaja na kinoti, nikakibana kwenye kiganja nikakimuvuzisha kwenye pochi.
Kufungua kinoti nakuta namba yake ya simu na elfu 20,
Nikampotezea sikumcheki, wiki iliofuata, ilo sinema lake niliomba poo nilifukuziwa mpaka nikabadilisha route za home, mzee alizoom ruti zangu zote mpaka nikahisi ni polisi
Finally nikamsikiliza, wimbo ukawa ule ule vi date vya hapa na pale baada ya wiki tukagonga mechi! Ila yule mzee mbovu balaa, yani mimi tu ndio nashughulika yeye kakaa kama mfalme, nikampagawisha mechi 1 nikamkimbia, tangu hapo amekuwa stalker hatari, simu zake sipokei, nikitoka kazini yupo mlangoni, kaniganda kama ruba,
Sijui namfanyaje?! kusema kweli me simtaki kwa sababu moja tu penny, unajua raha ya mechi wote mridhishane, sasa ukiwa unafanya kazi zote mwenyewe kama house maid ni ngumu! Na kumweleza nashindwa maana tume date week 1 tu
Afu sio kwamba ananihonga kiiiivyo kusema nikae walaaa, vi laki 1 kwa wiki vi elfu 20 sivikosi, kila sehemu tupo level, kasoro kitandani tu!
Wana MMU embu msaidieni shogangu hapa
Mkimaliza mje kwenye kuendelea kusoma stori Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle
Ahahahaha nimecheeeka mpaka mbwa wanalia njeHuyu mzee inabidi akamatwe anatukwamisha kwenda kwenye uchumi wa kati na viwanda!
Ahahaha, uuuwi, una hela bro?! Rafkiangu hadate watu wasio na mchuzi!nipe namba yake (huyo rafiki yako) nimpigie nijaribu bahati yangu
Kiru, aya boss asantehuyu uliyem quote au huyo aliyesababisha ulete thread,ok huyo wa kibabu mwambie aendelee kuwa na msimamo alafu siku nyingine kama unafanya one night stand show ajue na jinsi ya kuachana kabisa na huyo aliyefanya nae,tatizo alimuonjesha babu game tamu sasa babu anatakana take away,ikishindikana amtume mtu mwenye makamo kama yake amwambie kuwa yule binti hataki tena maoea na wewe maana atamganda hadi akome
HeheIla angalia usije ukapoteza bahati! Maana inawezekana alawa malaika wachache kati ya wale waliobaki!
Ahahahaha. Unanikumbusha enzi za ujana wangu, nilimpa baba m1 shikamoo akaniambia binti unataka kuninyima nini?!Unamwita Mzee kwani unataka kumnyima nini?
Hata Kikwete alilalamika,Magufuli anamuita "Mzee Kikwete, Mzee Kikwete", akasema "unataka kuninyima nini?Ahahahaha. Unanikumbusha enzi za ujana wangu, nilimpa baba m1 shikamoo akaniambia binti unataka kuninyima nini?!