Msaada tutani: Mzee alienipenda

Msaada tutani: Mzee alienipenda

Dah!
Aya bana, barida!

Basi tumsaidie mdogo wetu huyu analia lia

Huyu hapa
huyu uliyem quote au huyo aliyesababisha ulete thread,ok huyo wa kibabu mwambie aendelee kuwa na msimamo alafu siku nyingine kama unafanya one night stand show ajue na jinsi ya kuachana kabisa na huyo aliyefanya nae,tatizo alimuonjesha babu game tamu sasa babu anatakana take away,ikishindikana amtume mtu mwenye makamo kama yake amwambie kuwa yule binti hataki tena maoea na wewe maana atamganda hadi akome
 
Habari zenu wana MMU,
Nimewamiss! nimekuwa buzy na kuandika story ila watu hawaishi kuniletea zao!

Shogangu: Money Penny buana nimekamatika vbaya mnoo au sijui nimekamatwa au nimejikamatisha

Kuna mzee mmoja, ana miaka 50, aliniona mara 1 tu nikiwa job, basi kila week lazima aje pale ofsini. Akifika tu anaomba nimchajie simu yake.

Siku ya siku uzalendo ukamshinda, simu ilipoletwa kuchajiwa nikapitishiwa ikaja na kinoti, nikakibana kwenye kiganja nikakimuvuzisha kwenye pochi.

Kufungua kinoti nakuta namba yake ya simu na elfu 20,

Nikampotezea sikumcheki, wiki iliofuata, ilo sinema lake niliomba poo nilifukuziwa mpaka nikabadilisha route za home, mzee alizoom ruti zangu zote mpaka nikahisi ni polisi

Finally nikamsikiliza, wimbo ukawa ule ule vi date vya hapa na pale baada ya wiki tukagonga mechi! Ila yule mzee mbovu balaa, yani mimi tu ndio nashughulika yeye kakaa kama mfalme, nikampagawisha mechi 1 nikamkimbia, tangu hapo amekuwa stalker hatari, simu zake sipokei, nikitoka kazini yupo mlangoni, kaniganda kama ruba,

Sijui namfanyaje?! kusema kweli me simtaki kwa sababu moja tu penny, unajua raha ya mechi wote mridhishane, sasa ukiwa unafanya kazi zote mwenyewe kama house maid ni ngumu! Na kumweleza nashindwa maana tume date week 1 tu

Afu sio kwamba ananihonga kiiiivyo kusema nikae walaaa, vi laki 1 kwa wiki vi elfu 20 sivikosi, kila sehemu tupo level, kasoro kitandani tu!

Wana MMU embu msaidieni shogangu hapa

Mkimaliza mje kwenye kuendelea kusoma stori Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle
Huyu mzee inabidi akamatwe anatukwamisha kwenda kwenye uchumi wa kati na viwanda!
 
Huyu mzee inabidi akamatwe anatukwamisha kwenda kwenye uchumi wa kati na viwanda!
Ahahahaha nimecheeeka mpaka mbwa wanalia nje

nipe namba yake (huyo rafiki yako) nimpigie nijaribu bahati yangu
Ahahaha, uuuwi, una hela bro?! Rafkiangu hadate watu wasio na mchuzi!
Huna mchuzi, no excuse!

huyu uliyem quote au huyo aliyesababisha ulete thread,ok huyo wa kibabu mwambie aendelee kuwa na msimamo alafu siku nyingine kama unafanya one night stand show ajue na jinsi ya kuachana kabisa na huyo aliyefanya nae,tatizo alimuonjesha babu game tamu sasa babu anatakana take away,ikishindikana amtume mtu mwenye makamo kama yake amwambie kuwa yule binti hataki tena maoea na wewe maana atamganda hadi akome
Kiru, aya boss asante
 
Ila angalia usije ukapoteza bahati! Maana inawezekana alawa malaika wachache kati ya wale waliobaki!
 
Ahahahaha. Unanikumbusha enzi za ujana wangu, nilimpa baba m1 shikamoo akaniambia binti unataka kuninyima nini?!
Hata Kikwete alilalamika,Magufuli anamuita "Mzee Kikwete, Mzee Kikwete", akasema "unataka kuninyima nini?

Nilivyosikia hivyo nikasema Kikwete muhuni sana.

Hiini kauliambayo hutolewa na wazee vijana,hususan wa Pwani, wakiamkiwa shikamoona wasichana wadogo.

Maana yake ni kwamba, Mzee akiikubali tu shikamoo, kimaadili hatakiwi kumfukuzia huyo msichana (anakuwakamabinti yake kiheshima).

Ndiyo maana wazee wa Pwani hujiwekea kinga kwa kuikataa shikamoohiyo na kusema "unataka kuninyimanini?".

Sasa nilikuwa sijasikia mwanamme kumwambiamwanamme mwenzake hivyo mpaka nilipomsikia Kikwete.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom