mdida
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 1,607
- 772
Napenda music lakini mweeh mpenzi wangu hataki kusikia kitu kama hicho. Nachofanya nafungilia music ndani nacheza weee mpaka natokwa jasho naoga nalala. Huwa nafanya kama mazoezi vile. Saa zingine inabidi tu ukabaliane anachotaka mwenzi wako kama hapendi unaacha.