Mkuu ile Nissan Navara umeuza?
Mkuu fabinyo mambo vipi? Unajua Nigga ni mdau mwenzangu wa Automobiles lazima nimkumbuke.duh,watu mnakumbukumbu!ila hiyo Honda achana nayo mjomba,utaifurahi ikiwa mpya baaya ya hapo utanikumbuka tu
Leta Mchuma Nigga achana na fears on Honda. Tangu mwaka 2000 nimeown Honda tofauti zaidi ya 9. Nimekuw ana Honda Ascot, Legend, Odyssey (models 3 tofauti - RA -2, RA - 6 nimekuwa nazo mara mbili na kuwaagizia washikaji 2, na sasa RB - 1 ya 2004), Inspire (Models UA - 4 nimekuwa nazo mbili, UC - 1 pia nimekuwa nazo 2 na kumwagizia mshikaji 1), Honda Fit (Model GD - 1 nimekuwa nazo 2 pia). Naamini unajua ubora wa gari za Honda. Sijawahi kupata tatizo kubwa na gari hizi, asilani. Nimekuwa na bahati kuwa sijawahi kugongwa/gonga na kuvunja taa kwa hiyo kulazimika kuziagiza Japan/Dubai manake kweli nyingi ya Honda (ukiacha CRV) vitu kama taa unaweza usivipate. Ushauri wangu ni kuwa mwangalifu ktk uendeshaji ili kuepuka vitu kama ajali ambazo zinaweza kusababisha uhitaji spear nyingi kwa mkupuo. Spear ndogodongo kama bush huwa zinapatikana. Suspension za Honda ni nzuri sana na ngumu so sitarajii utapata shida na suspension hata kama unakaa kwenye mahandaki, mradi tu uwe unapita taratibu uwapo kwenye mahandaki. Nnae mshikaji ambaye ana Honda Accord kama hiyo yako na he is enjoying the car. ukimwona anaendesha na grin usoni utadhani chizi kumbe anafurahia gari yake. Kila la heri na ilete hiyo Accord Bongo ujiunge nasi Honda pioneers!
Shipa Hilo. Kimbiaany one with additional info?please
ushuru m 4.5,spea sijui