Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,202
- 44,598
Akija huku itakuwa msalaUpo huku ee! Muite mondray..
Akija huku itakuwa msalaUpo huku ee! Muite mondray..
Singida ipi mkuu maana nimeishi sana ila ni normal tu sio kwa sifa hizoMkuu weupe wanapendeza kwa kwel but natural sio wa mkorogo so karibu singida ujipatie pure homozygous white achana na mikorogo ya mjini huko
Mkuu singida ya Tundu lisu, kingu na nyalanduSingida ipi mkuu maana nimeishi sana ila ni normal tu sio kwa sifa hizo
100% !Black beauty tunaojikubali tupo saana tu ila wakutafuta. Wanawake hakuna tunaloweza zaidi ya kutafuta attention ya Wanaume. Makalio ndo hayo ya mchina, maziwa ndo usiseme. Ifike mahali wanaume waseme basi inatosha, la sivyo miaka kadhaa ijayo hiyo saratani zitamaliza weengi sana
65% likes white chicksWanawake wengi wanafanya hivyo ili kupata attention ya wanaume..
Lakini sio wanaume wote wanapenda mwanamke mweupe..
Bad enough weupe kwa kujichubua unaojulikana kwa mtu ambaye anajua..kama hujui ndo unaweza ukadhani ni rangi ya mtu..
Wanaume wengi wanapenda wanawake wanaojipenda..na kijiamini vile walivyo..
Be you! Be real ! Proud of self made...!
Ina maana Nchemba kasahaulika?Mkuu singida ya Tundu lisu, kingu na nyalandu
Mmmh100% !
Team no make up..
Awkaaay!Hapana, sipendi kuona wadada wazuri wenye sura nzuri za asili wanaishia kujikoboa. Lakini sipendi kudate dark skinned, samahani tu!!
KwakweliWanahangaika san hawajiamin tatizo
Aya bossI love black Beauty and natural white too
DUuuuu, noma sanaaaNa kwa mm mwanaume nikimuona KE aliyejichubua bac hapo hata relationship haiwezekaniki maana nina allergy nao, nani anayependa kuishi na mgonjwa mtarajiwa wa kansa
Team singida vepee?! Ahahaha msingida mwenzangu nakuona nakuonaa, una promote tuu mkoa wetuMkuu weupe wanapendeza kwa kwel but natural sio wa mkorogo so karibu singida ujipatie pure homozygous white achana na mikorogo ya mjini huko
I amyou are not black either
Tupe basi msaada broInteresting...
Amen brotha! Amen.Wanawake wengi wanafanya hivyo ili kupata attention ya wanaume..
Lakini sio wanaume wote wanapenda mwanamke mweupe..
Bad enough weupe kwa kujichubua unajulikana kwa mtu ambaye anajua..kama hujui ndo unaweza ukadhani ni rangi ya mtu..
Wanaume wengi wanapenda wanawake wanaojipenda..na kijiamini vile walivyo..
Be you! Be real ! Proud of self made...!
Iyo singida ya kaskazini sio ile nayotokea mie iramba kule nkinto!Mkuu singida ya Tundu lisu, kingu na nyalandu
Hata ukupaka makeup haikubadilishi rangi yako100% !
Team no make up..
Hehr nashangaaIna maana Nchemba kasahaulika?
Tupelekwe makumbushoWanawake weusi ni kizazi kilicho hatarini kutoweka
We si unapendaga weupe au100% !
Team no make up..
Hamna utulivu, hata maharage yanachelewa kuiva. Watu wa huko ni vicheche mno.Mkuu weupe wanapendeza kwa kwel but natural sio wa mkorogo so karibu singida ujipatie pure homozygous white achana na mikorogo ya mjini huko
Nenda kwa wasudani banaUkitaka black beauty nenda kwa wajaluo, sorry Luos, nadhani hii clan ndio pekee yenye weusi wa asili.
Sasa niambie mkoa gan una utulivu?, siku hizi kuna utandawazi kila sehemu ni hovyo tu mambo yavkusema kabila fulan au ukanda fulan ni vicheche yalishapitwa na wakati sasa niambie ni wa wapi wasio vicheche maana tz nzima ukimwi upo na single mother wako kila mkoa kwa hiyo achana na mawazo hasi, angalia tabia ya muhusika na sio anatokea kabila fulan au mkoa fulanHamna utulivu, hata maharage yanachelewa kuiva. Watu wa huko ni vicheche mno.
Ukute mumewe anapenda hayo mabaka!!! Wanaume utawaweza baasii!
HahahaNoo!
Napenda Bantu colour...! Kitu black!
Hii topic imenikumbusha huu mwimbo ambapo bidada aliambiwa na boyfriend akaongeze matiti lakini yakamshinda.
Haya maneno yamesema kila kitu. It's all about the inside, huku nje hata ujibadili vipi lakini kama hauna confidence na ndani hujitambui vzr uwezo wako wewe kama wewe bila kujibadilisha, basi hata weupe fake, matiti fake, makalio fake, vyote bure.
"You can buy your hair if it won't grow
You can fix your nose if he says so
You can buy all the make up
That M.A.C. can make
But if you can't look inside you
Find out who am I too
Be in the position to make me feel
So damn unpretty.."