Msaada: Tumetapeliwa!

Uko sahihi.Nilimshtukia mmoja hadi leo akiniona hunikwepa.
 
Kuna msemo wa kiswahili unasema "Ukitaka kutafuta nyoka anza kumulika miguuni pako". Mkuu hebu pia mfinye wife kidogo maana kwahiyo attachment uliyoweka hapo naona Kama wife mjanja mjanja kiaina.
Hamna ujanja wowote aliofanya mkewe,omba sana usikutane matapeli kama hao,uwa awakurupuki,itakua walikua wanamlia timing muda mrefu sana mpaka siku ya tukio

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Ambane Mke wake vizuri, Amna wakala mtembea kwa miguu mwenye ujuzi huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haisaidii
Kwa nini haisaidii?
Huoni kama mtoa mada angekuwa na picha ya huyo mtu ingewekwa humu na social media zingine angepatikana na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria?

Sijakuelewa kwa nini unasema HAISAIDII
 
Wife anaogopa kusema ukweli alichofanya kwenye namba ya siri kwa kuhofia kuonekana mjinga.

Kuna binti mmoja aliwahi kunisimulia kuwa kakutana na matapeli wamempora simu na hela, yeye alidai kuwa, walimpulizia dawa na kila walichoongea alikubali. Nilipombana vizuri, nilibaini kuwa, vitu vile alivitoa mwenyewe kwa sababu walimdanganya ana rongwa na shangazi yake na bla bla nyingi mpaka akaingia mkenge.
 
Kwa nini haisaidii?
Huoni kama mtoa mada angekuwa na picha ya huyo mtu ingewekwa humu na social media zingine angepatikana na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria?

Sijakuelewa kwa nini unasema HAISAIDII

Yale majitu ni ngumu sana kukamatika...na simu zetu techno hizo sura inatoka kama sio yeye!
 
Hao jamaa waliokuwa dukani na huyo wakala wote lao mmoja na kama wakala alipewa kitambulisho bas huwa wanaangalia mwaka wa kuzaliwa ama tarehe na mwezi ndio wanabahatisha kuwa password. Watu wengi password zao wanaweka miaka ya kuzaliwa ama tarehe na mwezi, ama zile namba za kati kati kwny simu ndogo ya kitoch.

Kosa kubwa mnalolifanya ni kumkabidhi simu wakala, hili ni kosa kubwa sana na hata kampuni za simu linawakataza msiwape wakala simu zenu hata mkitaka huduma gani ni bora kwenda kwny shopping center zao ambapo ni uhakika
 
Dah polee sanaaa ,mkuu
 
Kwa hiyo mke kajiibia pesa kwa kushirikiana na wakala?
 
Ngoja niiweke off tenaa
 
Hii ni superior level ya uhalifu, hasa kama imefanywa na mwamba mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…