Kng barn
Member
- Jul 14, 2019
- 9
- 12
Wadau habari, mimi nataka kuuliza.
Ikiwa ulikua ni mfanya biashara wakati na ulikua unalipa kodi vizuri tu TRA bahati mbaya biashara zikaenda mlama ukafilisika ukawa na deni kubwa TRA licha ya kuandika barua za kujitetea na kupewa mikataba mingi jinsi ya kulipa deni lakini ikawa umekwama bado unadaiwa labda mil 50 na huna unalazimishwa ulipe deni hilo kwa awamu 4 maana 12.4milion lakin bado huwezi.
Je, TRA wanarusiwa kwa sheria ipi kuchukua mali za mfanyabiashara huyo maana wananiambia watachukua mali zangu na kuna kipindi walifunga gari yangu mnyororo lakini baada ya kuwasemelea kwa wakubwa wakafungua mnyororo sahivi wanantishia tena.
Ikiwa ulikua ni mfanya biashara wakati na ulikua unalipa kodi vizuri tu TRA bahati mbaya biashara zikaenda mlama ukafilisika ukawa na deni kubwa TRA licha ya kuandika barua za kujitetea na kupewa mikataba mingi jinsi ya kulipa deni lakini ikawa umekwama bado unadaiwa labda mil 50 na huna unalazimishwa ulipe deni hilo kwa awamu 4 maana 12.4milion lakin bado huwezi.
Je, TRA wanarusiwa kwa sheria ipi kuchukua mali za mfanyabiashara huyo maana wananiambia watachukua mali zangu na kuna kipindi walifunga gari yangu mnyororo lakini baada ya kuwasemelea kwa wakubwa wakafungua mnyororo sahivi wanantishia tena.