Cha msingi soma notes zako zote za darasan,,elewa mambo yenu ya ICT kwa ujumla Maana written interview hajijulikani aisee ndgHabari zenu wakuu, poleni na majukumu. Ninategemea hivi karibuni kuitwa kwenye interview na PSPRS kada ya ICT OFFICER(QUALITY ASSURANCE). kama kuna mtu amewahi kufanya interview ya kada hiyo naomba aniambie nisome mambo gani hasa ili nijiandae vizuri. Natanguliza shukrani zangu kwenu
Unaomba msaada then hutaki kisaidiwa mie nimekuambia weka job description nikuambie topic za kusoma hutaki haya pambana mkuu KwaheliMkuu job description kwenye written hazifanyi kazi..sisi watu wa ICT hata oral hauulizwi job description ni maswali tofauti kabisa
Mkuu samahank kama jibu langu limekukwaza..nimefanya sana hizi interview na practical pia nimefanya..sijawahi kukutana na chochote kutoka kwny zile job descriptions kwa upande wa ICT labda kada nyingineUnaomba msaada then hutaki kisaidiwa mie nimekuambia weka job description nikuambie topic za kusoma hutaki haya pambana mkuu Kwaheli
Tatizo hutaki kusaidiwa Sasa wewe umefanya sana lakini kuna waliofanya na wanaelewa interview zinaendaje ,ungetuma wakusaidie aliekuomba job description unadhani Hana akili?Mkuu samahank kama jibu langu limekukwaza..nimefanya sana hizi interview na practical pia nimefanya..sijawahi kukutana na chochote kutoka kwny zile job descriptions kwa upande wa ICT labda kada nyingine
😂😂😂😂Anaomba msaada afu anakaza kichwa au sioUnaomba msaada then hutaki kisaidiwa mie nimekuambia weka job description nikuambie topic za kusoma hutaki haya pambana mkuu Kwaheli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anaomba msaada afu anakaza kichwa au sio
Ndugu yetu anaonekana mbishi sana,au usikute Hana Tangazo la hiyo kazi.😂😂😂😂Anaomba msaada afu anakaza kichwa au sio
Anaambiwa kitu anabisha Sasa atasaidiwa vipi😂😂😂Ndugu yetu anaonekana mbishi sana,au usikute Hana Tangazo la hiyo kazi.
Siri ya kufanikiwa ni kuwa na Tangazo la kazi pia kwanza.
😂😂😂😂😂Kasema ana experience nazo sanaendelea kukaza fuvu
unazijua software za petroleum?hiyo post si zile za tpdc au?maswali yenu hayatabase kwenye IT
Sasa unasema hujawahi kufanya halafu unajua huwa hawatoi kitu fulani.Mkuu job description kwenye written hazifanyi kazi..sisi watu wa ICT hata oral hauulizwi job description ni maswali tofauti kabisa
Utakiwa loser sana, umewahi kufanya tena mara kadhaa halafu haujajua usome wapi.Mkuu samahank kama jibu langu limekukwaza..nimefanya sana hizi interview na practical pia nimefanya..sijawahi kukutana na chochote kutoka kwny zile job descriptions kwa upande wa ICT labda kada nyingine
Yule mzee wa flasha ana mzoom tuAnaomba msaada afu anakaza kichwa au sio
Sasa asingetuma job description tungejuaje kama TPDC wakati ICT yupo kila sehemuunazijua software za petroleum?hiyo post si zile za tpdc au?maswali yenu hayatabase kwenye IT
IT itakuwa kidogo sana