Msaada: Tofauti ya mshahara wa mwalimu na mtangazaji

Msaada: Tofauti ya mshahara wa mwalimu na mtangazaji

mwalimu wa degree analipwa 412,000,000/= na mtangazaji ,445,000/=
 
Polen kwa shughul na mihangaiko ya hapa na pale wakuu wenzang!!





Bila kupoteza wakt naomba nijikite kwenye thread yang alasiri hii~



:naomba kuuliza kwa wanaojua au wasiojua japo ushasikia..MSHAHARA wa degree ya Mwalimu ni sawa na mwenye Degree ya Utangazaji studio??
Kwa Taifa lipi?viwango vya mishahara na posho Tz haizingatii kiwango cha elimu kwa mujibu wa selikari ya magufuli kwa mataifa mengine viwango vinakuwa Equally kwa kiwango kinachofanana eg mwenye Musters ya Education na musters ya uchumi au n.k akiwa Ulaya yote viwango vya malipo sawa kwa mwaka wa kwanza watapishana ile ongezeko la kila mwaka kulingana na kukaa sana kazini mfano mtu alie sajiliwa leo kazini Hispania akiwa na muster atatofautiana na yule aliyesajiliwa miaka mitatu iliyopita kwa kitu kinaitwa ongezeko la mshahara kwa kufanya kazi one year,hii ipo sawa na united kingdom,german,Urusi,na sehemu kubwa ya America ya kusini na kaskazini pia mfumo huu upo kwa waarabu lakini sharti la waarabu wameweka uwe mzawa kwa asiyekuwa mzawa hulipwa kama kibaluwa.NB kufanya kazi Tanzania ukubali uwe punda wa Bosi ukalie ndiooo niko na ufahamu kwakuwa inchi nilizopita najua kinachofanyika.
 
Kwa Taifa lipi?viwango vya mishahara na posho Tz haizingatii kiwango cha elimu kwa mujibu wa selikari ya magufuli kwa mataifa mengine viwango vinakuwa Equally kwa kiwango kinachofanana eg mwenye Musters ya Education na musters ya uchumi au n.k akiwa Ulaya yote viwango vya malipo sawa kwa mwaka wa kwanza watapishana ile ongezeko la kila mwaka kulingana na kukaa sana kazini mfano mtu alie sajiliwa leo kazini Hispania akiwa na muster atatofautiana na yule aliyesajiliwa miaka mitatu iliyopita kwa kitu kinaitwa ongezeko la mshahara kwa kufanya kazi one year,hii ipo sawa na united kingdom,german,Urusi,na sehemu kubwa ya America ya kusini na kaskazini pia mfumo huu upo kwa waarabu lakini sharti la waarabu wameweka uwe mzawa kwa asiyekuwa mzawa hulipwa kama kibaluwa.NB kufanya kazi Tanzania ukubali uwe punda wa Bosi ukalie ndiooo niko na ufahamu kwakuwa inchi nilizopita najua kinachofanyika.
anhaah ok,shukran sn mkuu kwa kipengele chako hiki cha majibu nimekulew......
 
Kwa Taifa lipi?viwango vya mishahara na posho Tz haizingatii kiwango cha elimu kwa mujibu wa selikari ya magufuli kwa mataifa mengine viwango vinakuwa Equally kwa kiwango kinachofanana eg mwenye Musters ya Education na musters ya uchumi au n.k akiwa Ulaya yote viwango vya malipo sawa kwa mwaka wa kwanza watapishana ile ongezeko la kila mwaka kulingana na kukaa sana kazini mfano mtu alie sajiliwa leo kazini Hispania akiwa na muster atatofautiana na yule aliyesajiliwa miaka mitatu iliyopita kwa kitu kinaitwa ongezeko la mshahara kwa kufanya kazi one year,hii ipo sawa na united kingdom,german,Urusi,na sehemu kubwa ya America ya kusini na kaskazini pia mfumo huu upo kwa waarabu lakini sharti la waarabu wameweka uwe mzawa kwa asiyekuwa mzawa hulipwa kama kibaluwa.NB kufanya kazi Tanzania ukubali uwe punda wa Bosi ukalie ndiooo niko na ufahamu kwakuwa inchi nilizopita najua kinachofanyika.
Musters?
 
Inategemea na sehemu utakayoajiriwa,kama ni umma inategemea na taasisi ama shirika ulilopo,na kama ni binafsi napo inategemea na kampuni uliyopo
 
Tanzania ni nchi yenye vituko sana,yaani nimeona walimu na madaktari walioajiliwa 2011 wanalipwa sawa na walioajiliwa April/May 2017,,Kweli kufanya Kazi Tanzania yaitaji moyo.
Nikiludi kwenye swali lako kama wote ni waajiliwa Wa serikali na muda Wa kuajiliwa unafanaa ,kiwango cha elimu tuseme wote wanadegree mwalimu anamzidi mtangazaji Kwa kama tsh 25,000.(tofauti ni tsh elfu ishirini na tano)
 
Tanzania ni nchi yenye vituko sana,yaani nimeona walimu na madaktari walioajiliwa 2011 wanalipwa sawa na walioajiliwa April/May 2017,,Kweli kufanya Kazi Tanzania yaitaji moyo.
Nikiludi kwenye swali lako kama wote ni waajiliwa Wa serikali na muda Wa kuajiliwa unafanaa ,kiwango cha elimu tuseme wote wanadegree mwalimu anamzidi mtangazaji Kwa kama tsh 25,000.(tofauti ni tsh elfu ishirini na tano)
Mshahara wa ualimu unategemea na elimu pia. Kama huyo alieajiriwa 2011 alikua diploma alitakiwa apande cheo mwaka 2014 hapo angelipwa mshahara ngazi moja na degree holder anaeanza kazi mwaka huo au ht kwa miaka 3 baadae. Kama ni certificate inaweza ikawa sawa tu.

ANGALIZO

Tunapojadili mishahara ya watumishi wa serikali hasa walimu tujitahidi kujadili bila kupotosha huku tukitambua mishahara yao haifanani
 
Tanzania ni nchi yenye vituko sana,yaani nimeona walimu na madaktari walioajiliwa 2011 wanalipwa sawa na walioajiliwa April/May 2017,,Kweli kufanya Kazi Tanzania yaitaji moyo.
Nikiludi kwenye swali lako kama wote ni waajiliwa Wa serikali na muda Wa kuajiliwa unafanaa ,kiwango cha elimu tuseme wote wanadegree mwalimu anamzidi mtangazaji Kwa kama tsh 25,000.(tofauti ni tsh elfu ishirini na tano)
pamojaa sn mkuu.....
 
Mshahara wa ualimu unategemea na elimu pia. Kama huyo alieajiriwa 2011 alikua diploma alitakiwa apande cheo mwaka 2014 hapo angelipwa mshahara ngazi moja na degree holder anaeanza kazi mwaka huo au ht kwa miaka 3 baadae. Kama ni certificate inaweza ikawa sawa tu.

ANGALIZO

Tunapojadili mishahara ya watumishi wa serikali hasa walimu tujitahidi kujadili bila kupotosha huku tukitambua mishahara yao haifanani
Naongelea walimu wenye degree ,na madaktari(medical doctor)ni Kweli ilitakiwa wapande madaraja 2014,lakini adi Leo hii hawajapanda bado wanasubili .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom