Msaada: Tecno P5 Haichaji Bila Power Bank

Msaada: Tecno P5 Haichaji Bila Power Bank

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,902
Reaction score
9,339
Wadau simu yangu INA hilo tatizo. Ilikuwa inachaji vizuri tu kwa chaja za kawaida ila kwa sasa inaishia asilimia 2 tu mpaka nitumie power bank.

Je, nini inaweza kuwa tatizo.
 
kwa ku guess haraka haraka
-power bank yako ina inatoa umeme mwingi pengine 1 mpaka 2A wakati chaja yako ni ya kichina feki haitoi umeme wa kutosha.

tafuta mtu mwenye chaja orijinal ya tecno muazime hata dakika tano uchaji simu yako uone, ikijaaa katafute chaja nzuri
 
kwa ku guess haraka haraka
-power bank yako ina inatoa umeme mwingi pengine 1 mpaka 2A wakati chaja yako ni ya kichina feki haitoi umeme wa kutosha.

tafuta mtu mwenye chaja orijinal ya tecno muazime hata dakika tano uchaji simu yako uone, ikijaaa katafute chaja nzuri
Nimeshajaribu chaja zaidi ya kumi tena original kabisaa. Hata nichaji Masaa m
 
Wadau simu yangu INA hilo tatizo. Ilikuwa inachaji vizuri tu kwa chaja za kawaida ila kwa sasa inaishia asilimia 2 tu mpaka nitumie power bank.

Je, nini inaweza kuwa tatizo.
Kama upo Dar wapelekee tecno kariakoo wanakutengenezea faster sana
 
Back
Top Bottom