Haaahaaa duuhItakuwa imegusana na Tecno, simu yoyote ukiigusanisha na Tecno lazima ipate matatizo kama hayo.
Alifanyaje hadi ikaponahilo tatizo lilishatokea kwangu sumsung note 2 ilijizima tu kuwasha ikawa inaandika hvyo niliflash karibia kwa mafundi watatu haikufanikiwa..
nkabahatisha fundi mmoja ata sikumbuki aliniambia tatizo nn ila iliponaa kabisa
aliangalia mambo ya baseband sijui ilifanyaje msikilize huyo mtaalam apo chiefmkwawaa
Alifanyaje hadi ikapona
hazifananiTazama nyuma ya simu IMEI namba iliyopo inafanana na IMEI iliyopo ndani ya simu kwa kupiga *#06# kama hazifanani jiandae kununua Certificate ya IMEI number, kuna mtu nafahamiana nae nitakuunganisha nae, yupo humuhumu Jf.
Mr hii si ni kurepair tu . Kununua tena?Tazama nyuma ya simu IMEI namba iliyopo inafanana na IMEI iliyopo ndani ya simu kwa kupiga *#06# kama hazifanani jiandae kununua Certificate ya IMEI number, kuna mtu nafahamiana nae nitakuunganisha nae, yupo humuhumu Jf.
cert za samsung ni serious aisee, hua zina range from 60,000/-Mr hii si ni kurepair tu . Kununua tena?
Mkuu, kurepair ni ngumu saaana, bila shaka ni mpaka inunuliwe cert file nyingine. Nenda ebay waweza nunua hiyo IMEI cert file.Mr hii si ni kurepair tu . Kununua tena?
Itakuwa imegusana na Tecno, simu yoyote ukiigusanisha na Tecno lazima ipate matatizo kama hayo.