EBENEZA MT
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 264
- 50
Nina tatizo la kusahau je? naweza kuongeza uwezo wangu wa kukumbuka.
Hizo ni dalili za unyogovu (depression) au athali za madawa (<font color="#008080">effects from medications</font>), wakati mwingine usahaulifu unatokana na umri kuwa mkubwa, majeraha ya kichwani, upungufu wa vitamini au kansa ya ubongo, na maambukizo katika ubongo, pamoja na aina ya matatizo na magonjwa mengine.... ikiwemo kukosa usingizi au kutolala kwa muda unaotakiwa.<br />
<br />
<br />
<b>Sababu za usahaulifu:</b><br />
Usahaulifu ni sehemu ya kawaida kwenye maisha ya binadamu na haswa anapofikia umri wa kuzeeka. Ila tatizo likiwa kubwa basi ni dalili ya matatizo mengine ijapokuwa wataalam bado hasa kujua kunasababishwa na nini, ingawa hivyo nilivyovitaja hapo juu, vinachangia kwa asilimia kubwa sana.<br />
Magonjwa mengine yanayochangia ukiondoa uzee, ni ugonjwa wa mishipa (Alzheimers). Maumivu ya kichwa ( <font color="#008080">Head trauma</font> ), upungufu wa baadhi ya vitamini, Magonjwa sugu, uvimbe wa ubongo, madhara kutokana kutumia madawa (<font color="#008080">medications