Fuata maelekezo: Error message:
Maelekezo yapi hayo, Kang???
Nilishajaribu kufuata yote hayo, lakini kilichonishinda ni kwamba, kwenye ile Program list baada ya kuselect Services, SECURITY CENTER HAIONEKANI. Kwahiyo nimeshindwa nini cha kufanya.
Msaada zaidi tafadhari.