Msaada tafadhari

Hahaha! Ziloi nimecheka kweli kweli, fuata ushauri wa Chief-Mkwawa. By the way mtoto wa standard 6 anasahau vipi passwords?

Nakumbuka akaunti yangu ya Facebook nimefungua nikiwa standard 5 na passwords sikusahau. Embu mtulize akumbuke kwa uzuri.
Saiv una miaka mingapi mkuu..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom