iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,231
- 7,815
Saiv una miaka mingapi mkuu..?Hahaha! Ziloi nimecheka kweli kweli, fuata ushauri wa Chief-Mkwawa. By the way mtoto wa standard 6 anasahau vipi passwords?
Nakumbuka akaunti yangu ya Facebook nimefungua nikiwa standard 5 na passwords sikusahau. Embu mtulize akumbuke kwa uzuri.